Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,663
- 71,450
Mleta mada muongo muongoSio vizuri 😂😂
Hivi kweli alisahau umri wake????🤣
Mleta mada muongo muongoSio vizuri 😂😂
Hatuwezi kufahamu ya dunia mengi😁Mleta mada muongo muongo
Hivi kweli alisahau umri wake????🤣
Time travelKuwa na miaka 30 tangu 2019 kitaalamu tunaiitaje?
We jamaa tangu 2019 una miaka 30?
Natafuta mchumba/Msichana wa Kuoa
Awe na umri kuanzia miaka 24 hadi 30 Dini awe mkristo Elimu yake kuanzia form four na kuendelea Rangi yoyote sibagui Awe anajihusisha na shughuli yoyote halali Sifa zangu Mimi Miaka 30 Elimu yangu Degree Kazi yangu mfanyabiashara Dini yangu Mkristo Karibuni PM kwa mwenye hizo sifa Sent...www.jamiiforums.com
umekua ukitafuta mchumba tangu 2019, tangu kipindi hicho umekuwa ukiandika miaka 30sifa zangu ni:
Umri 32 yrs
Dini Mkristo
Elimu Degree
Kazi nimejiajiri
Mkoa Dar
Sifa za mtu ninae mhitaji
Umri 22-30
Elimu kuanzia form four na kuendelea
Awe Dar au karb na Dsm
Boss nampa mitano tena mleta madaMode, mbona umetoka nje ya mada
Kweli dunia ina mengiHatuwezi kufahamu ya dunia mengi😁
Hiyo inaitwa introduction of problematic marriageKuwa na miaka 30 tangu 2019 kitaalamu tunaiitaje?
Hahahahahh for real aseeeeHiyo inaitwa introduction of problematic marriage