Natafuta binti wa kazi za ndani

Natafuta binti wa kazi za ndani

Lyatuu the Great

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
212
Reaction score
85
Natafuta binti wa kazi. Mkia wa kufanyia kazi ni Dodoma. Mshahara elfu 40. Awe anajitambua na ajue kufanya kazi zake za ndani vizuri. Simu 0783085858.0769881984 0715075858
 
kima cha chini cha serikali mshahara shilingi ngapi???huu ni unyanyasaji kwakweli elfu 40 unalipa mtoto bwa mwenzio ataifanyia nini ??kwanini kama unaona siyo kazi ngumu si ufanye ww??,hii ni dhambi halafu ukute ww mchangaji
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kuna wanayatafuta hiyo Kazi ya elfu 40 hawaipati ajira ngumu jamani Kazi ni Kazi ilimradi halali,
 
Harafu musipende kuwa tumikisha kama punda pia musiwanyanyase na muwalipe kwa wakati
 
kima cha chini cha serikali mshahara shilingi ngapi???huu ni unyanyasaji kwakweli elfu 40 unalipa mtoto bwa mwenzio ataifanyia nini ??kwanini kama unaona siyo kazi ngumu si ufanye ww??,hii ni dhambi halafu ukute ww mchangaji
Serikali imeelekeza housegirl alipwe sh ngapi?
 
kima cha chini cha serikali mshahara shilingi ngapi???huu ni unyanyasaji kwakweli elfu 40 unalipa mtoto bwa mwenzio ataifanyia nini ??kwanini kama unaona siyo kazi ngumu si ufanye ww??,hii ni dhambi halafu ukute ww mchangaji
We unachekesha kwelii embu mpe laki mbili.. Apange chumba... ale kwake.... Avae kwake... Akiumwa ajitibu... Alipe umeme na maji na naul ya kazin uone kama ataweza save hata hiyo 40 kwa mwez... Piga hesabu zako vizuri
 
kuna watu humu ni wafanyakazi wa ndani wanalalamika hao...utadhani kunacheti kinahitajika kwa nafasi ya mfanyakazi wa ndani
 
Hiyo 40,000 nimelipa kwa dada wa kazi mwaka 2009-11. Now nalipa 70,000.
Well unaweza pata kuwa na subra!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Nimeshapata binti wa kazi tayari pls sihitaji tena maombi yalikuwa mengi mno.asanteni kwa mlioleta maombi
 
Weka tangazo mkuu utapata wengi tu. Mimi nimeanikiwa na anafanya kazi kwa bidii na anakaa na mtoto vyema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom