Natafuta ajira yoyote!

Natafuta ajira yoyote!

kangaya

Member
Joined
Oct 14, 2014
Posts
51
Reaction score
3
Mimi ni KE,umri wangu ni miaka 21,ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu ila sijajiunga na chuo kwa sababu za kukosa mkopo.
Natafuta ajira yoyote ile itakayoniongezea kipato. Nina uwezo mzuri sana hasa katika masomo ya Kemia na Hisabati kwa A'level na O'level pia niko vizuri katika IT pia.
 
St. Augustine Arusha Campus ada haizidi laki 7 kwa nusu mwaka
 
nilishachaguliwa chuoni tayari...sihitaji nafasi ya chuo tena Ndachuwa
 
Mungu akupe Iman kwamba utafikia ndoto zako kimaisha . usikate tamaa Fanya kaz yeyote halali upate ada .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom