kangaya
Member
- Oct 14, 2014
- 51
- 3
Mimi ni KE,umri wangu ni miaka 21,ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu ila sijajiunga na chuo kwa sababu za kukosa mkopo.
Natafuta ajira yoyote ile itakayoniongezea kipato. Nina uwezo mzuri sana hasa katika masomo ya Kemia na Hisabati kwa A'level na O'level pia niko vizuri katika IT pia.
Natafuta ajira yoyote ile itakayoniongezea kipato. Nina uwezo mzuri sana hasa katika masomo ya Kemia na Hisabati kwa A'level na O'level pia niko vizuri katika IT pia.