Ni kipindi kirefu sasa kila wakati napigiwa simu na UNKNOWN NUMBER Na ukipokea haongei kwa siku inaweza kupiga mara nne au tano kila siku hivyo kusababisha usumbufu usio wa lazima mwenye uelewa nisaidie tafadhali!!!.
Ni kipindi kirefu sasa kila wakati napigiwa simu na UNKNOWN NUMBER Na ukipokea haongei kwa siku inaweza kupiga mara nne au tano kila siku hivyo kusababisha usumbufu usio wa lazima mwenye uelewa nisaidie tafadhali!!!.
Ni kipindi kirefu sasa kila wakati napigiwa simu na UNKNOWN NUMBER Na ukipokea haongei kwa siku inaweza kupiga mara nne au tano kila siku hivyo kusababisha usumbufu usio wa lazima mwenye uelewa nisaidie tafadhali!!!.
mimi jana nimepigiwa simu na jamaa anajitambulisha yeye ni wakala wangu wa Airtel akauliza jina langu nikakata simu nilipanga akipiga tena nimtukane matusi mengi sana
Mími pia natumia nokia mwezi uliopita nilikua napigiwa simu kila baada ya masaa 2 na namba ya tigo 0718... Alafu ukipokea haongei then secunde 5 zikipita inakata