Nasumbuliwa na mabaka usoni

Atukuzwe Mungu

Senior Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
198
Reaction score
243
Habari wanajamvi, nasumbuliwa na mabaka usoni yalisayosababishwa na chunusi, naomba ushauri nitumie njia gani au dawa gani ili niwe soft?
 
Kuna face wash zinaitwa mentholatum,matoleo ya kwanza yalikuwa vizuri sana,matoleo ya sasa hivi quality kama imepungua hivi lakini jaribu..kama uko dar tembelea JD pharmacy..nunua hiyo face wash na scar remover
 
Asante Sana mkuu unfortunately sipo dar, nipo Kilimanjaro Ntajaribu kuulizia
Kuna face wash zinaitwa mentholatum,matoleo ya kwanza yalikuwa vizuri sana,matoleo ya sasa hivi quality kama imepungua hivi lakini jaribu..kama uko dar tembelea JD pharmacy..nunua hiyo face wash na scar remover
 
Kuna face wash zinaitwa mentholatum,matoleo ya kwanza yalikuwa vizuri sana,matoleo ya sasa hivi quality kama imepungua hivi lakini jaribu..kama uko dar tembelea JD pharmacy..nunua hiyo face wash na scar remover
Scar remover Shilling ngapi mkuu
 
πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜†
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…