Nasubiria kuona tunaokoa kiasi gani kutoka kwenye kukimbiza mwenge

Kitu Kizito

JF-Expert Member
Oct 21, 2012
245
223
Hapana shaka kuwa dhamira na nia halisi ya kuwasha mwenge enzi zile za Mwalimu haipo tena sasa.

Katika maeneo ambayo taifa linatumia fedha nyingi za umma kwa matukio yasiyo ya lazima, mbio za mwenge ni eneo mojawapo.

Mbali na tapanya fedha bila uzalishaji, unachangia kwa kiwango kikubwa ongezeko la vitendo vya zinaa na maambukizi ya magonjwa yatokonanyo huku ukifarakanisha ndoa na mahusiano ya watu.

Kama Rais Magufuli anamaanisha kubana matumizi na kufuta matumizi yasiyo ya lazima, ni wakati sasa kufikiria au kuamua kuutengea eneo la kumbukumbu huu mwenge na historia yake kwasababu hauna uzito kama kumbukumbu ya kuzaliwa Tanzania.

Nasubiri kuona..
 
Hapana shaka kuwa dhamira na nia halisi ya kuwasha mwenge enzi zile za Mwalimu haipo tena sasa.

Katika maeneo ambayo taifa linatumia fedha nyingi za umma kwa matukio yasiyo ya lazima, mbio za mwenge ni eneo mojawapo.

Mbali na tapanya fedha bila uzalishaji, unachangia kwa kiwango kikubwa ongezeko la vitendo vya zinaa na maambukizi ya magonjwa yatokonanyo huku ukifarakanisha ndoa na mahusiano ya watu.

Kama Rais Magufuli anamaanisha kubana matumizi na kufuta matumizi yasiyo ya lazima, ni wakati sasa kufikiria au kuamua kuutengea eneo la kumbukumbu huu mwenge na historia yake kwasababu hauna uzito kama kumbukumbu ya kuzaliwa Tanzania.

Nasubiri kuona..
Hebu saidia kidogo, tuwekee figures za kiasi cha pesa zinazotumika ili kujustify hayo matumizi ya fedha unayoyasema? Nimeona thread nyingi sana zinasema mwenge unatumia pesa nyingi sana ila sioni hicho kiasi cha hizo pesa zinazosemwa kikiwekwa.

Weka figure please.
 
Back
Top Bottom