Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,854
- 32,657
SIMBA WANAFOSI KUSHINDANA NA YANGA-NASRI
"Siku zote najua nini naongea na nini logic ya nnacho kiongea… Ukweli ni kuwa Simba hakua na timu ya kupambania ubingwa na Yanga
Kilicho tokea msimu huu ni kufosi tuu mambo, kitendo kinacho pelekea Ligi nzima kuharibika… ikiwa Simba watahitaji kupambania Kombe la Ligi mbele ya Yanga kimpira halisia wana hitaji madirisha mengine kadhaa ya kuboresha kikosi chao
Kwa sasa hawana kikosi cha kushinda na Yanga, labda kwa cinema izi zinazo endelea
"
NASRI HALFAN MTANGAZAJI WA WASAFI
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
"Siku zote najua nini naongea na nini logic ya nnacho kiongea… Ukweli ni kuwa Simba hakua na timu ya kupambania ubingwa na Yanga
Kilicho tokea msimu huu ni kufosi tuu mambo, kitendo kinacho pelekea Ligi nzima kuharibika… ikiwa Simba watahitaji kupambania Kombe la Ligi mbele ya Yanga kimpira halisia wana hitaji madirisha mengine kadhaa ya kuboresha kikosi chao
Kwa sasa hawana kikosi cha kushinda na Yanga, labda kwa cinema izi zinazo endelea
"NASRI HALFAN MTANGAZAJI WA WASAFI
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
