Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Naumia mno, sikuwahi kufikiria hiki kitu, nilipata msichana mmoja ambaye nilianza naye mahusiano mwezi wa sita, huyu ni mkazi wa kwa mworombo, alikuwa mbabe sana na tabia za kutokubali kushuka. Alikuwa anapenda starehe sana hivyo tulikuwa tukikwazana kila mara.
Jana nimekwenda hostel kwao namkuta anakunywa na wahuni, namuuliza ananiambia ni kaka zake wa huko Chugga, nikawa namuelekeza nikiwa nimemvuta pembeni kwa sauti ya chini.
Asianze kunitukana nini? Na wale wahuni wakawa upande wake, nikajikuta nimejawa na hasira, nikamzaba makofi pale pale, kwani alikuwa anatukana hivyo plus pombe.
Baadaye nikaamua kuamsha zangu ghetto kutulia. Alivyo hana aibu leo asubuhi ananiomba msamaha, kasahau matusi yote. Ila wale wahuni nimewa mind, nitawatafuta!
Jana nimekwenda hostel kwao namkuta anakunywa na wahuni, namuuliza ananiambia ni kaka zake wa huko Chugga, nikawa namuelekeza nikiwa nimemvuta pembeni kwa sauti ya chini.
Asianze kunitukana nini? Na wale wahuni wakawa upande wake, nikajikuta nimejawa na hasira, nikamzaba makofi pale pale, kwani alikuwa anatukana hivyo plus pombe.
Baadaye nikaamua kuamsha zangu ghetto kutulia. Alivyo hana aibu leo asubuhi ananiomba msamaha, kasahau matusi yote. Ila wale wahuni nimewa mind, nitawatafuta!