Enock Rutha
Member
- Nov 16, 2016
- 35
- 24
UPINZANI TANZANIA NI KAMA KUCHWA CHA MWENDA WAZIMU. NIA TUNAYO LAKINI TUMEKOSA MTU WA KUMTUMA ASIMAME BADALA YETU. Pole sana watanzania wenzangu badala ya kutumia muda mwingi wa kulalamika mitandaoni tujipange kwenye makundi madogomadogo tufanye kazi tule kwa jasho sioni namna nyingine ya kuwasaidia hasa vijana tuliokuwa tukisoma na tunaosoma tukiwa na fikra potofu AJIRA bila kuwa na plan B. Karibuni kwenye ujasiliamali ambao tumeshaanza tunachekelea tu. Nimekaa muda mrefu mwishowe nimechoka na kero zenu za ajira na nasikitka kijana na viungo vyote vya mwili unakaa kulalamika Mara oooh sina mtaji wakati kila siku mitansaoni na simu kali suruali modo wallet limejaa makaratasi. Na mtaolewa sana na degree zenu msipoangalia. Naandika kwa masikitiko tu jamani na pole kwa atakayekwazika ila tuache KULALAMIKA.