Wazabanga kuku
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 264
- 381
Kwa miezi kadhaa sasa tangu ofisi yangu ipigwe ban na serikali ,nimejikuta naachana kabisa na mademu zangu wote na muda mwingi nawaza kutafuta hela Tu
Na hawa mademu nahisi washajishtukia coz nlivyowadekeza Siku za nyuma tofauti na hivi karibuni
So wameacha kabisa kunipiga mizinga na wote nshaachana nao
Natafuta mke mwema sasa nitakaesaidiana nae kutafuta Mali
Yani kutokana na hali mbaya ya uchumi nimejikuta nawaacha michepuko yangu yote automatically bila kuwaambia na wenyewe washajua manake muda sasa sijahonga kabisa.
Ijumaa kareem
Na hawa mademu nahisi washajishtukia coz nlivyowadekeza Siku za nyuma tofauti na hivi karibuni
So wameacha kabisa kunipiga mizinga na wote nshaachana nao
Natafuta mke mwema sasa nitakaesaidiana nae kutafuta Mali
Yani kutokana na hali mbaya ya uchumi nimejikuta nawaacha michepuko yangu yote automatically bila kuwaambia na wenyewe washajua manake muda sasa sijahonga kabisa.
Ijumaa kareem
