Nashukuru sana Wakristo na Wayahudi kuwa watu wanaoingoza Dunia

Nashukuru sana Wakristo na Wayahudi kuwa watu wanaoingoza Dunia

Haikuwa Islamic golden age bali ilikuwa Persian Golden age. Uvumbuzi na maarifa yote mnayodai kuwa ni Islamic Golden age yalitokea Persia, Uislam haukuwa na mchango wowote. Jiulizr kwa nini hiyo Islamic Golden age haikuwa na wanasayansi Waarab badala yake karibu wote ni Waajem?

Kwa sasa Wairani wengi wanarudi kwenye asili yao ya Kiajemi (Aryan) na wanachoma Qurani moto.
Wanasema Uislamu haukuleta faida kwa Iran bali uliharibu nchi hiyo.

Watu wengi mashuhuri katika historia ya Kiislamu — kama wanazuoni, wanasayansi, wasanifu majengo na wasanii — walikuwa Wairani wenye asili ya Kizoroasta.
Watu wakubwa kama Avicenna (Ibn Sina) na Al-Khwarizmi walikuwa Wairani.

Usanifu wa majengo ya Kiislamu uliendelea kutoka kwenye usanifu wa Dola ya Sasanian.
Hata sarufi ya Kiarabu, ilipangwa na kuandikwa kwa mpangilio mzuri na Wairani.
Na elimu nyingi za Kiislamu zilistawi mikononi mwa Wairani.

Unaweza jiuliza: kama walikuwa Wairani, kwa nini walikuwa na majina ya Kiarabu?
Jibu ni kwamba katika kipindi cha mwanzo wa utawala wa Kiislamu huko Uajemi watu waliokuwa na majina ya Kiajemi au waliokuwa wakizungumza Kiajemi waliuawa, hivyo walilazimika kutumia Kiarabu ili kuishi. Kipindi hicho huitwa “Miaka Mia Mbili ya Kimya.”

Wairan wanampa heshima ya pekee kwa mwandishi Ferdowsi, anayeonekana kama mlinzi wa lugha ya Kiajemi, kwa sababu aliandika mashairi yaliyosaidia kuhifadhi utambulisho wa taifa lao.
Wanasema kama leo lugha ya Kiajemi bado ipo hai, ni kwa sababu ya juhudi za watu kama yeye.
Cheap propaganda. Wakati huo Persia empire ilikua kubwa Sana ikifika nchi zote za Asia ya Kati mpaka nchi za kiarabu kama Iraq, MTU yoyote alietokea huo Ukanda aliitwa Mpersia hata kama Hatoki Iran ya Leo.

Mfano kwenye Uisilamu Maimamu wakubwa kama Bukhari actual birth place yake ni Uzbekistan ya Leo ila alitoka Persia ya Zamani, Imam Muslim Actual Birthplace ni Afghanistan ya Leo etc.

Pia hapa Tunaongelea Africa, Spain, Portugal na part ya Ulaya iliokuwa chini ya Uisilamu si Waarabu wa gulf wala si wapersia waliokua hapo Bali ni Moors, kuna scientist kibao toka Huo Ukanda wa Africa waliokua n contribution kubwa na nakutajia na majina na Contribution zao
1. Mohammed Idris ambaye ndio founder wa World map na ramani ya sasa contribution kubwa inatoka kwake, Alitoka Morocco, unaweza UKa Google "Tabula Rogeriana" kuona ramani zake zote.

2. Al-Zarqali (Arzachel) huyu mgunduzi wa saa ya maji, na contribution zake za Astrology mpaka Leo zinatumika, Alipinga Dunia sio Duara bali ni Elliptical amabyo ndio knowledge halisi ya sasa

3. Al zahrawi Baba wa Upasuaji ambaye mpaka Leo anakuwa credited MTU wa Kwanza kufanya Upasuaji wa kisasa, vifaa vyake kama mikasi, tweezers, visu vya Upasuaji Hadi Leo vinatumika Mahospitalini. Huyu jamaa pia mgunduzi wa lipstick na mambo mengine ya urembo pamoja na vitu vya pharmacy kama distillation

4. abass ibn Firnas ambaye ndio mgunduzi wa kifaa cha Kwanza kupaa

5. Kuna Yule bi dada wa Morocco ambaye yupo credited kwa Kuanzisha Chuo cha Kwanza Duniani na kuweka mfumo wetu wa sasa wa vyuo. Etc.
Wasome zaidi hapa.

So si kweli eti Islamic Golden age ilitoka Persia Tu Bali ni sehemu zote, Andalusia ni mfano mzuri kupinga point yako.

Pia ukitoa Hapo kuna Wanasayansi wengi walitoka Uturuki ya sasa, Syria, Iraq, Palestine ya sasa, Egpty etc.
 
Mungu fundi Sana kuifanya USA kuwa mbabe wa dunia, bila hivyo dunia ingekuwa uwanja wa vita
Aliona mbali asee . Japo U.S Kuna mambo anafanya ya hivyo ila tukiangalia kwa upande wa uzuri wake ni kwamba U.S amen balance mambo mengi sana ya dunia.. la sivyo Fujo duniani zingekuwepo sana
 
Aliona mbali asee . Japo U.S Kuna mambo anafanya ya hivyo ila tukiangalia kwa upande wa uzuri wake ni kwamba U.S amen balance mambo mengi sana ya dunia.. la sivyo Fujo duniani zingekuwepo sana
Yah kila mtu ana mabaya na mazuri yake, bora mabaya ya USA kuliko mabaya ya magaidi.
Kuwa kiongozi wa dunia sio jambo la mizaha, lazima Mungu atie kibali kwenye hilo.
 
Cheap propaganda. Wakati huo Persia empire ilikua kubwa Sana ikifika nchi zote za Asia ya Kati mpaka nchi za kiarabu kama Iraq, MTU yoyote alietokea huo Ukanda aliitwa Mpersia hata kama Hatoki Iran ya Leo.

Mfano kwenye Uisilamu Maimamu wakubwa kama Bukhari actual birth place yake ni Uzbekistan ya Leo ila alitoka Persia ya Zamani, Imam Muslim Actual Birthplace ni Afghanistan ya Leo etc.

Pia hapa Tunaongelea Africa, Spain, Portugal na part ya Ulaya iliokuwa chini ya Uisilamu si Waarabu wa gulf wala si wapersia waliokua hapo Bali ni Moors, kuna scientist kibao toka Huo Ukanda wa Africa waliokua n contribution kubwa na nakutajia na majina na Contribution zao
1. Mohammed Idris ambaye ndio founder wa World map na ramani ya sasa contribution kubwa inatoka kwake, Alitoka Morocco, unaweza UKa Google "Tabula Rogeriana" kuona ramani zake zote.

2. Al-Zarqali (Arzachel) huyu mgunduzi wa saa ya maji, na contribution zake za Astrology mpaka Leo zinatumika, Alipinga Dunia sio Duara bali ni Elliptical amabyo ndio knowledge halisi ya sasa

3. Al zahrawi Baba wa Upasuaji ambaye mpaka Leo anakuwa credited MTU wa Kwanza kufanya Upasuaji wa kisasa, vifaa vyake kama mikasi, tweezers, visu vya Upasuaji Hadi Leo vinatumika Mahospitalini. Huyu jamaa pia mgunduzi wa lipstick na mambo mengine ya urembo pamoja na vitu vya pharmacy kama distillation

4. abass ibn Firnas ambaye ndio mgunduzi wa kifaa cha Kwanza kupaa

5. Kuna Yule bi dada wa Morocco ambaye yupo credited kwa Kuanzisha Chuo cha Kwanza Duniani na kuweka mfumo wetu wa sasa wa vyuo. Etc.
Wasome zaidi hapa.

So si kweli eti Islamic Golden age ilitoka Persia Tu Bali ni sehemu zote, Andalusia ni mfano mzuri kupinga point yako.

Pia ukitoa Hapo kuna Wanasayansi wengi walitoka Uturuki ya sasa, Syria, Iraq, Palestine ya sasa, Egpty etc.
Hujajibu hoja yangu. Waarab wanataka credit kwa Isamic golden age lakini hawana mchango wowote. Wao wanachojua ni uharibifu na kuua kabisa asili za wenyeji na tamaduni zao kama walivyofanya Misri, Libya na kwingineko.

Uzuri Spain na Portugual walijikomboa. Na hata hawa waliozamia Ulaya sasa hivi watakuwa eradicated. Ni suala muda. Uislam ni kansa mbaya sana. Ni lazima sote tufurahie utawala wa USA duniani maana hata wewe leo unaweza kupumua ukiwa Roma na kupiga kelele za allah akbar mtu asikusumbue. Imagine Uislam ungetawala dunia....just imagine nini kingetokea. Tungekuwa kwenye lisayari likubwa kama Afghanistan
 
Hujajibu hoja yangu. Waarab wanataka credit kwa Isamic golden age lakini hawana mchango wowote. Wao wanachojua ni uharibifu na kuua kabisa asili za wenyeji na tamaduni zao kama walivyofanya Misri, Libya na kwingineko.

Uzuri Spain na Portugual walijikomboa. Na hata hawa waliozamia Ulaya sasa hivi watakuwa eradicated. Ni suala muda. Uislam ni kansa mbaya sana. Ni lazima sote tufurahie utawala wa USA dunuani maana hata wewe leo unaweza kupumua ukiwa Roma na kuoiga kelele za allah akbar mtu asikusumbue. Imagine Uislam ungetawala dunia....just imagine nini kingetokea. Tungekuwa kwenye lisayari likubwa kama Afghanistan
Umeandika vyema mkuu...
 
Hujajibu hoja yangu. Waarab wanataka credit kwa Isamic golden age lakini hawana mchango wowote. Wao wanachojua ni uharibifu na kuua kabisa asili za wenyeji na tamaduni zao kama walivyofanya Misri, Libya na kwingineko.

Uzuri Spain na Portugual walijikomboa. Na hata hawa waliozamia Ulaya sasa hivi watakuwa eradicated. Ni suala muda. Uislam ni kansa mbaya sana. Ni lazima sote tufurahie utawala wa USA dunuani maana hata wewe leo unaweza kupumua ukiwa Roma na kuoiga kelele za allah akbar mtu asikusumbue. Imagine Uislam ungetawala dunia....just imagine nini kingetokea. Tungekuwa kwenye lisayari likubwa kama Afghanistan
Kuna definition mbili za waarabu, Biological waarabu na Political waarabu.

Biological waarabu ni wale wa jangwani mabedui, wachunga Mbuzi na Ngamia kuna MTU ana claim wao ndio inventor?

Political waarabu ni Iraq, Syria, Palestine etc hawa kiasili sio waarabu ila wanaitwa waarabu sababu wamekua arabized, so pick your poison
1. Biological waarabu, hawajavamia huko unakosema, historically empire zote kubwa zina avoid eneo la waarabu halina issue. Waliokwenda North Africa ilikua ni Baghdad at that time kama sijakosea (Ukitoa Egpty)

2. Political waarabu, then hao ndo wagunduzi wenyewe, hakuna Islamic Golden Age bila Syria, IraQ etc in short Iraq ndio HQ yenyewe.

So chagua definition yako ya waarabu ni ipi otherwise tunapotezeana Muda Tu hapa kutwist mwarabu ni Nani kufit hoja yako.
 
Kuna definition mbili za waarabu, Biological waarabu na Political waarabu.

Biological waarabu ni wale wa jangwani mabedui, wachunga Mbuzi na Ngamia kuna MTU ana claim wao ndio inventor?

Political waarabu ni Iraq, Syria, Palestine etc hawa kiasili sio waarabu ila wanaitwa waarabu sababu wamekua arabized, so pick your poison
1. Biological waarabu, hawajavamia huko unakosema, historically empire zote kubwa zina avoid eneo la waarabu halina issue. Waliokwenda North Africa ilikua ni Baghdad at that time kama sijakosea (Ukitoa Egpty)

2. Political waarabu, then hao ndo wagunduzi wenyewe, hakuna Islamic Golden Age bila Syria, IraQ etc in short Iraq ndio HQ yenyewe.

So chagua definition yako ya waarabu ni ipi otherwise tunapotezeana Muda Tu hapa kutwist mwarabu ni Nani kufit hoja yako.
Napenda mjadala wenu...

Ni mjadala wa kisomi.
 
Kinachoendelea Nigeria ni makundi ya Marekani yanayojinasibisha na uisilamu. Isis wanatibiwa Israel it's a fact 100% na Israel wenyewe hawakatai, Ila Isis hao hao wakipiga sehemu lawama zote hapewi Israel. Isis Wana silaha Kali za Marekani, wao wanazipata Kwanza kuliko hata nchi washirika, silaha wanaletewa na Marekani kupitia Bulgaria evidence zote zipo online toka kwa mwandishi wa habari wa Bulgaria na zimejadiliwa binge la Ulaya.

Ukienda Sahel hapo Burkina Faso, Mali na Niger kila MTU anajua Makundi ya Al Qaeda mfaransa anayafadhili kupigana na serikali hizo, mpaka Ukraine amekiri kuwatrain.

Vyote hivyo Una Ignore Ila unahisi ni waarabu ndio wanaopigana hapo. Siku ukija kuzinduka na kizazi chako kikizinduka ndio hili bara litaanza kupiga hatua

Huo ushahidi u wapi shekh wangu?
 
Na hii ndiyo shida yenu pia.

Kwamba Kila anayeenda kinyume na mawazo yenu basi amekuwa siyo mkristo.

Unapoongelea ukristo basi Mimi ni mkristo hasa,Tena ni kutoka Roman Catholic church kutoka shirika la Benedictine fathers.

Tena nimetoka familia ya wasemimary kwelikweli.Mzee wangu ni msemimary na kauhudumia hii nchi kwa uaminifu mkubwa,the same to my grandpa ambaye amewahi kufanya kazi huko Israel miaka na miaka ambako nyie mnakuhusudu na kuwaona Miungu watu.

Wewe na wenzio mnaosapoti huu ujinga mna tatizo la religion blindness,vipofu Kila kitu mnakitazama katika jicho la dini...Mna udini wa kijinga.

Hao U.S. na Israel ni mwashenzi.
Mbaga Jr
 
Kipindi hao waisilamu wanatawala Dunia (Islamic Golden Age), same timeframe ndio ilikua African golden age.

Africa kukawa na dola kubwa kama Kilwa, Mali Empire na kwengineko, watu walitoka Dunia nzima wakaenda Timbuktu kusoma Hisabati, Fizikia na masomo mengine, Even elites wa Ulaya walikuja Africa kujifunza,

Moors ambao walikua ni Mixer Watu wa north na west Africa walienda ulaya na kutengeneza Civilisation unayoiona Leo.

Then ukaja Ukoloni, kila kitu kikaharibiwa, watu wakauliwa, wenye skills wakakatwa mikokono, resource zikaibiwa zikaopelekwa Ulaya, mkaachiwa umasikini, ujinga, maradhi na version za ukristo kuhakikisha hampindui.

Leo hii matokeo yake ni hata MTU aliekufanya kuwa dhalili usithaminike unamuona ndio Bora na kutangaza inferiority complex yako.
unatuona sisi wajinga kiasi gani tusiojua historia ya waarabu??
 
Back
Top Bottom