Nashukuru sana Wakristo na Wayahudi kuwa watu wanaoingoza Dunia

Nashukuru sana Wakristo na Wayahudi kuwa watu wanaoingoza Dunia

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,692
Reaction score
13,316
Hili ni jambo la kushukuru sana Dola za Kikristo na Dola za Wayahudi kuicontrol Dunia na kuwa Dola zenye nguvu lilikuwa ni jambo la neema sana

Lati Dunia ingetawaliwa na Madola ya Kiislam na wakristo wangekuwa dhaifu basi Tungeisha moja kati ya madola makatili sana endapo yakipata nafasi ya kuitawala eneo au kuwa na nguvu basi Ni Waislam kwanza huwa hawataki kabisa kuskia imani nyingine na wakifika eneo huwa wanataka amri kila mtu aslim au ufe fuatilia historia za ottoman empire na Dola nyingine za kiislam zilizowah kuitikisa Dunia

Myahudi angekuwa lelemama hapo middle east basi mda sana wangeashakufa wote ila kwa saaa ndio anagawa mkongto kwa dola la mwisho ambalo lilikuwa linaleta dharau Iran maana nchi zote za kiislam hapo middle east alishazinyoosha na zote zikawa kama makoloni yake akabaki iran na kwa saasa ananyolewa na mnajionea

Angalia Nigeria wakristo walivyokuwa wanauliwa hadi mmarekani akaingilia kati, kwa sasa waislam ni kazima wajue Dola lenye nguvu Duniani kwa sasa ni Mfumo kristo na Mfumo wa kiyahudi na ndio maana hata siku tarehe mnatumia tarehe za kikristo maana yake mpo kwenye mfumo na kutoka hamuwezi

Saudi arabia kwa sasa ni Dola ambalo linapokea maelekezo kutoka marekani na kwa myahudi na inasemekana crown prince wa saudi ana vinasaba vya wayahudi maana yake saudi makao makuu ya waislam yapo tiifu kwa myahudi na mmarekani that's wy saudi imeanza kuachana na imani kali now wanakuja kimangaribi na hamuwezi fanya kitu

Kwa Africa Misri ndio likikuwa Dola kubwa la kiislam ila kwa sasa Misri anapokea maelekezo na misaada ya silaha kwa marekani yaani misri ni mtiifu kwa myahudi na hamuwezi fanya kitu

Nchi kama Uturuki,Oman,Bahrain,syiria,Lebanon,Iraq,Qatar,Falme za kiarabu,Morocco,Algeria,Libya,Saudi arabia,Jordan zote kwa sasa zinatoa shkamoo na maelekezo kwa mmarekani sasa kama Muarabu kashasalenda wewe mtu mweusi ulieletewa Dini utasema nini

Narudia tena tushukuru kwa hii neema kubwa
 
Hili ni jambo la kushukuru sana Dola za Kikristo na Dola za Wayahudi kuicontrol Dunia na kuwa Dola zenye nguvu lilikuwa ni jambo la neema sana

Lati Dunia ingetawaliwa na Madola ya Kiislam na wakristo wangekuwa dhaifu basi Tungeisha moja kati ya madola makatili sana endapo yakipata nafasi ya kuitawala eneo au kuwa na nguvu basi Ni Waislam kwanza huwa hawataki kabisa kuskia imani nyingine na wakifika eneo huwa wanataka amri kila mtu aslim au ufe fuatilia historia za ottoman empire na Dola nyingine za kiislam zilizowah kuitikisa Dunia

Myahudi angekuwa lelemama hapo middle east basi mda sana wangeashakufa wote ila kwa saaa ndio anagawa mkongto kwa dola la mwisho ambalo lilikuwa linaleta dharau Iran maana nchi zote za kiislam hapo middle east alishazinyoosha na zote zikawa kama makoloni yake akabaki iran na kwa saasa ananyolewa na mnajionea

Angalia Nigeria wakristo walivyokuwa wanauliwa hadi mmarekani akaingilia kati, kwa sasa waislam ni kazima wajue Dola lenye nguvu Duniani kwa sasa ni Mfumo kristo na Mfumo wa kiyahudi na ndio maana hata siku tarehe mnatumia tarehe za kikristo maana yake mpo kwenye mfumo na kutoka hamuwezi

Saudi arabia kwa sasa ni Dola ambalo linapokea maelekezo kutoka marekani na kwa myahudi na inasemekana crown prince wa saudi ana vinasaba vya wayahudi maana yake saudi makao makuu ya waislam yapo tiifu kwa myahudi na mmarekani that's wy saudi imeanza kuachana na imani kali now wanakuja kimangaribi na hamuwezi fanya kitu

Kwa Africa Misri ndio likikuwa Dola kubwa la kiislam ila kwa sasa Misri anapokea maelekezo na misaada ya silaha kwa marekani yaani misri ni mtiifu kwa myahudi na hamuwezi fanya kitu

Nchi kama Uturuki,Oman,Bahrain,syiria,Lebanon,Iraq,Qatar,Falme za kiarabu,Morocco,Algeria,Libya,Saudi arabia,Jordan zote kwa sasa zinatoa shkamoo na maelekezo kwa mmarekani sasa kama Muarabu kashasalenda wewe mtu mweusi ulieletewa Dini utasema nini

Narudia tena tushukuru kwa hii neema kubwa


SISI MAKOBAZI TUNAKANDAMIZWA SANA
 
Hili ni jambo la kushukuru sana Dola za Kikristo na Dola za Wayahudi kuicontrol Dunia na kuwa Dola zenye nguvu lilikuwa ni jambo la neema sana

Lati Dunia ingetawaliwa na Madola ya Kiislam na wakristo wangekuwa dhaifu basi Tungeisha moja kati ya madola makatili sana endapo yakipata nafasi ya kuitawala eneo au kuwa na nguvu basi Ni Waislam kwanza huwa hawataki kabisa kuskia imani nyingine na wakifika eneo huwa wanataka amri kila mtu aslim au ufe fuatilia historia za ottoman empire na Dola nyingine za kiislam zilizowah kuitikisa Dunia

Myahudi angekuwa lelemama hapo middle east basi mda sana wangeashakufa wote ila kwa saaa ndio anagawa mkongto kwa dola la mwisho ambalo lilikuwa linaleta dharau Iran maana nchi zote za kiislam hapo middle east alishazinyoosha na zote zikawa kama makoloni yake akabaki iran na kwa saasa ananyolewa na mnajionea

Angalia Nigeria wakristo walivyokuwa wanauliwa hadi mmarekani akaingilia kati, kwa sasa waislam ni kazima wajue Dola lenye nguvu Duniani kwa sasa ni Mfumo kristo na Mfumo wa kiyahudi na ndio maana hata siku tarehe mnatumia tarehe za kikristo maana yake mpo kwenye mfumo na kutoka hamuwezi

Saudi arabia kwa sasa ni Dola ambalo linapokea maelekezo kutoka marekani na kwa myahudi na inasemekana crown prince wa saudi ana vinasaba vya wayahudi maana yake saudi makao makuu ya waislam yapo tiifu kwa myahudi na mmarekani that's wy saudi imeanza kuachana na imani kali now wanakuja kimangaribi na hamuwezi fanya kitu

Kwa Africa Misri ndio likikuwa Dola kubwa la kiislam ila kwa sasa Misri anapokea maelekezo na misaada ya silaha kwa marekani yaani misri ni mtiifu kwa myahudi na hamuwezi fanya kitu

Nchi kama Uturuki,Oman,Bahrain,syiria,Lebanon,Iraq,Qatar,Falme za kiarabu,Morocco,Algeria,Libya,Saudi arabia,Jordan zote kwa sasa zinatoa shkamoo na maelekezo kwa mmarekani sasa kama Muarabu kashasalenda wewe mtu mweusi ulieletewa Dini utasema nini

Narudia tena tushukuru kwa hii neema kubwa
Ok,imewanufaisha nini zaidi? Ukute hapo una njaa hadi machoni.
 
Mungu fundi Sana kuifanya USA kuwa mbabe wa dunia, bila hivyo dunia ingekuwa uwanja wa vita
U.S. ndiyo waharibifu wakubwa wa hii sayari.

Nyie ni wakristo Gani mnaowashangilia hao wahuni? Tena unakuta mkristo anaweka hadi benndera ya Israel kwenye gari na nyumba za ibada. Alafu unakuta ni msomi,ila likija swala la Israel na America anakuwa mjinga sana. Reasoning inayeyuka.

Huu uhuni mnao nyie wakristo wa mashehebu ya pentecoste/walokole.
 
U.S. ndiyo waharibifu wakubwa wa hii sayari.

Nyie ni wakristo Gani mnaowashangilia hao wahuni? Tena unakuta mkristo anaweka hadi benndera ya Israel kwenye gari na nyumba za ibada. Alafu unakuta ni msomi,ila likija swala la Israel na America anakuwa mjinga sana. Reasoning inayeyuka.

Huu uhuni mnao nyie wakristo wa mashehebu ya pentecoste/walokole.
Mwarabu kashajenga nini cha maana maana ingekuwa mwarabu.mtu mwema why dada zenu wanauliwa huko
 
Hili ni jambo la kushukuru sana Dola za Kikristo na Dola za Wayahudi kuicontrol Dunia na kuwa Dola zenye nguvu lilikuwa ni jambo la neema sana

Lati Dunia ingetawaliwa na Madola ya Kiislam na wakristo wangekuwa dhaifu basi Tungeisha moja kati ya madola makatili sana endapo yakipata nafasi ya kuitawala eneo au kuwa na nguvu basi Ni Waislam kwanza huwa hawataki kabisa kuskia imani nyingine na wakifika eneo huwa wanataka amri kila mtu aslim au ufe fuatilia historia za ottoman empire na Dola nyingine za kiislam zilizowah kuitikisa Dunia

Myahudi angekuwa lelemama hapo middle east basi mda sana wangeashakufa wote ila kwa saaa ndio anagawa mkongto kwa dola la mwisho ambalo lilikuwa linaleta dharau Iran maana nchi zote za kiislam hapo middle east alishazinyoosha na zote zikawa kama makoloni yake akabaki iran na kwa saasa ananyolewa na mnajionea

Angalia Nigeria wakristo walivyokuwa wanauliwa hadi mmarekani akaingilia kati, kwa sasa waislam ni kazima wajue Dola lenye nguvu Duniani kwa sasa ni Mfumo kristo na Mfumo wa kiyahudi na ndio maana hata siku tarehe mnatumia tarehe za kikristo maana yake mpo kwenye mfumo na kutoka hamuwezi

Saudi arabia kwa sasa ni Dola ambalo linapokea maelekezo kutoka marekani na kwa myahudi na inasemekana crown prince wa saudi ana vinasaba vya wayahudi maana yake saudi makao makuu ya waislam yapo tiifu kwa myahudi na mmarekani that's wy saudi imeanza kuachana na imani kali now wanakuja kimangaribi na hamuwezi fanya kitu

Kwa Africa Misri ndio likikuwa Dola kubwa la kiislam ila kwa sasa Misri anapokea maelekezo na misaada ya silaha kwa marekani yaani misri ni mtiifu kwa myahudi na hamuwezi fanya kitu

Nchi kama Uturuki,Oman,Bahrain,syiria,Lebanon,Iraq,Qatar,Falme za kiarabu,Morocco,Algeria,Libya,Saudi arabia,Jordan zote kwa sasa zinatoa shkamoo na maelekezo kwa mmarekani sasa kama Muarabu kashasalenda wewe mtu mweusi ulieletewa Dini utasema nini

Narudia tena tushukuru kwa hii neema kubwa
Kipindi hao waisilamu wanatawala Dunia (Islamic Golden Age), same timeframe ndio ilikua African golden age.

Africa kukawa na dola kubwa kama Kilwa, Mali Empire na kwengineko, watu walitoka Dunia nzima wakaenda Timbuktu kusoma Hisabati, Fizikia na masomo mengine, Even elites wa Ulaya walikuja Africa kujifunza,

Moors ambao walikua ni Mixer Watu wa north na west Africa walienda ulaya na kutengeneza Civilisation unayoiona Leo.

Then ukaja Ukoloni, kila kitu kikaharibiwa, watu wakauliwa, wenye skills wakakatwa mikokono, resource zikaibiwa zikaopelekwa Ulaya, mkaachiwa umasikini, ujinga, maradhi na version za ukristo kuhakikisha hampindui.

Leo hii matokeo yake ni hata MTU aliekufanya kuwa dhalili usithaminike unamuona ndio Bora na kutangaza inferiority complex yako.
 
Kipindi hao waisilamu wanatawala Dunia (Islamic Golden Age), same timeframe ndio ilikua African golden age.

Africa kukawa na dola kubwa kama Kilwa, Mali Empire na kwengineko, watu walitoka Dunia nzima wakaenda Timbuktu kusoma Hisabati, Fizikia na masomo mengine, Even elites wa Ulaya walikuja Africa kujifunza,

Moors ambao walikua ni Mixer Watu wa north na west Africa walienda ulaya na kutengeneza Civilisation unayoiona Leo.

Then ukaja Ukoloni, kila kitu kikaharibiwa, watu wakauliwa, wenye skills wakakatwa mikokono, resource zikaibiwa zikaopelekwa Ulaya, mkaachiwa umasikini, ujinga, maradhi na version za ukristo kuhakikisha hampindui.

Leo hii matokeo yake ni hata MTU aliekufanya kuwa dhalili usithaminike unamuona ndio Bora na kutangaza inferiority complex yako.

Mwajuma. Waarabu hawajawahi kuwa na ustaarabu. Ni watu waovu wauaji, makatili, wasio na akili. Wana roho mbaya kama baba yao mkuu shetani ala. Ni watu wasio reason ambao wanaamini katika ukatili na mauaji ya kimbali au ya mmoja mmoja. Angalia kinachoendelea Nigeria chanzo ni imani ya kiarabu
 
Mwarabu kashajenga nini cha maana maana ingekuwa mwarabu.mtu mwema why dada zenu wanauliwa huko
Na hii ndiyo shida yenu pia.

Kwamba Kila anayeenda kinyume na mawazo yenu basi amekuwa siyo mkristo.

Unapoongelea ukristo basi Mimi ni mkristo hasa,Tena ni kutoka Roman Catholic church kutoka shirika la Benedictine fathers.

Tena nimetoka familia ya wasemimary kwelikweli.Mzee wangu ni msemimary na kauhudumia hii nchi kwa uaminifu mkubwa,the same to my grandpa ambaye amewahi kufanya kazi huko Israel miaka na miaka ambako nyie mnakuhusudu na kuwaona Miungu watu.

Wewe na wenzio mnaosapoti huu ujinga mna tatizo la religion blindness,vipofu Kila kitu mnakitazama katika jicho la dini...Mna udini wa kijinga.

Hao U.S. na Israel ni mwashenzi.
 
Mwarabu kashajenga nini cha maana maana ingekuwa mwarabu.mtu mwema why dada zenu wanauliwa huko
Wakati sultani yupo Znz hakumuingilia MTU utawala wake, kama hufahamu the so called makabila makubwa East Africa wakikuyu, Wachaga, waganda etc walikua wakubwa sababu ya hao waarabu, Chaga empire mpaka hela walikua wakitumia za waarabu, machief wote kina Mangi Meli, Mariale, Sina etc walishirikiana nao.

Sultani ndio alileta wafanyabiashara wakubwa wa Gujarati India, Akakuletea wabulushi wakamtoa mreno na kufanya biashara iendelee, na anaweka mfumo ambao mpaka Leo unaona Tanzania IPO hivi.

Nyerere alivyoingia madarakani akakumbatia vichwa vile vile vya Sultani, kuanzia jina la Tanzania, Mawaziri na wshauri wake akawatumia, mpaka Leo ukiona Aga khan, Seifee, kina Mo, Bakhresa na wengineo legacy ni moja.

Kama husomi hata Historia ya Nchi yako huwezi elewa.
 
Mwajuma. Waarabu hawajawahi kuwa na ustaarabu. Ni watu waovu wauaji, makatili, wasio na akili. Wana roho mbaya kama baba yao mkuu shetani ala. Ni watu wasio reason ambao wanaamini katika ukatili na mauaji ya kimbali au ya mmoja mmoja. Angalia kinachoendelea Nigeria chanzo ni imani ya kiarabu
Kinachoendelea Nigeria ni makundi ya Marekani yanayojinasibisha na uisilamu. Isis wanatibiwa Israel it's a fact 100% na Israel wenyewe hawakatai, Ila Isis hao hao wakipiga sehemu lawama zote hapewi Israel. Isis Wana silaha Kali za Marekani, wao wanazipata Kwanza kuliko hata nchi washirika, silaha wanaletewa na Marekani kupitia Bulgaria evidence zote zipo online toka kwa mwandishi wa habari wa Bulgaria na zimejadiliwa binge la Ulaya.

Ukienda Sahel hapo Burkina Faso, Mali na Niger kila MTU anajua Makundi ya Al Qaeda mfaransa anayafadhili kupigana na serikali hizo, mpaka Ukraine amekiri kuwatrain.

Vyote hivyo Una Ignore Ila unahisi ni waarabu ndio wanaopigana hapo. Siku ukija kuzinduka na kizazi chako kikizinduka ndio hili bara litaanza kupiga hatua
 
Islamic Golden Age
Haikuwa Islamic golden age bali ilikuwa Persian Golden age. Uvumbuzi na maarifa yote mnayodai kuwa ni Islamic Golden age yalitokea Persia, Uislam haukuwa na mchango wowote. Jiulizr kwa nini hiyo Islamic Golden age haikuwa na wanasayansi Waarab badala yake karibu wote ni Waajem?

Kwa sasa Wairani wengi wanarudi kwenye asili yao ya Kiajemi (Aryan) na wanachoma Qurani moto.
Wanasema Uislamu haukuleta faida kwa Iran bali uliharibu nchi hiyo.

Watu wengi mashuhuri katika historia ya Kiislamu — kama wanazuoni, wanasayansi, wasanifu majengo na wasanii — walikuwa Wairani wenye asili ya Kizoroasta.
Watu wakubwa kama Avicenna (Ibn Sina) na Al-Khwarizmi walikuwa Wairani.

Usanifu wa majengo ya Kiislamu uliendelea kutoka kwenye usanifu wa Dola ya Sasanian.
Hata sarufi ya Kiarabu, ilipangwa na kuandikwa kwa mpangilio mzuri na Wairani.
Na elimu nyingi za Kiislamu zilistawi mikononi mwa Wairani.

Unaweza jiuliza: kama walikuwa Wairani, kwa nini walikuwa na majina ya Kiarabu?
Jibu ni kwamba katika kipindi cha mwanzo wa utawala wa Kiislamu huko Uajemi watu waliokuwa na majina ya Kiajemi au waliokuwa wakizungumza Kiajemi waliuawa, hivyo walilazimika kutumia Kiarabu ili kuishi. Kipindi hicho huitwa “Miaka Mia Mbili ya Kimya.”

Wairan wanampa heshima ya pekee kwa mwandishi Ferdowsi, anayeonekana kama mlinzi wa lugha ya Kiajemi, kwa sababu aliandika mashairi yaliyosaidia kuhifadhi utambulisho wa taifa lao.
Wanasema kama leo lugha ya Kiajemi bado ipo hai, ni kwa sababu ya juhudi za watu kama yeye.
 
U.S. ndiyo waharibifu wakubwa wa hii sayari.

Nyie ni wakristo Gani mnaowashangilia hao wahuni? Tena unakuta mkristo anaweka hadi benndera ya Israel kwenye gari na nyumba za ibada. Alafu unakuta ni msomi,ila likija swala la Israel na America anakuwa mjinga sana. Reasoning inayeyuka.

Huu uhuni mnao nyie wakristo wa mashehebu ya pentecoste/walokole.
Nyie kobaz huyo Allah wenu amewasaidia nn mpaka sasa?

Kila siku kipigo tuu, Allah akbaru amekula kona 😂
 
Back
Top Bottom