delusions
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 5,001
- 1,291
kula sana mihogo pweza karanga hakikisha unazuia bao zako kwa siku tatu walau kuelekea siku ya mechi na mama awe ametumia clomiphene walau siku kadhaa b4 mechi ila unaweza ukapata zaidi ya wawiliDah!
Hongera sana mkuu, NAPENDA kweli kuwa na watoto mapacha. Hapo umeua ndege 2 kwa jiwe 1. Nipe maujanja, 'UMEFANYAJE FANYAJE'?