MATONYA new
Senior Member
- Jan 21, 2021
- 139
- 330
kuwa na busara,kama wewe ushapata waache na wenzio nao wapateAcha funga hio page, nenda kajiajiri ,fungua kiwanda.
Kaka changamoto za ajira portal ni nyingi na hazirekebishiki,in fact huo ni mfumo wa kuwanyima watu ajira na sio kuwapa watu ajira, sikusema kwa ubaya, atapoteza muda burekuwa na busara,kama wewe ushapata waache na wenzio nao wapate
Achana napo hapo mkuu, kikubwa kama usha attach barua ya kuomba kazi basi inatosha, chakufanya nenda kwenye vacancies uka apply unachotaka kuombaHabari za leo Jamii Forum members, naomba msaada, msaada ninao uomba unajikita kwenye kuweka tick kibox cha declaration form ya Ajira Portal, kila nikijaribu kuweka alama ya tick inagoma.
Je, nifanye nini kufanikiwa?
Picha hiyo hapo
View attachment 2268591
Asante sana nduguAchana napo hapo mkuu, kikubwa kama usha attach barua ya kuomba kazi basi inatosha, chakufanya nenda kwenye vacancies uka apply unachotaka kuomba
Achane nae hatakiwi kujibiwakuwa na busara,kama wewe ushapata waache na wenzio nao wapate
Jaza declarations kusaini taarifa zako acha ufalaAsante sana ndugu
Jaza declarations kusaini taarifa zako acha ufala
Omba likizo ya bila malipo miezi mitatu halafu njoo mtaani utafahamujobless wa nchi hii mmevurugw kishenzi
Transcript ni muhimu ku attach hapo lazima usiitweWakuu na mm nimeapply utumishi kwa certify vyeti yaan cheti cha chuo cheti cha form four na kuzaliw ilaa sijaattach transcript vp nawez kuw sabb kutoitwa
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Angalia source ya internet unayotumia kama ina nguvu,Habari za leo Jamii Forum members, naomba msaada, msaada ninao uomba unajikita kwenye kuweka tick kibox cha declaration form ya Ajira Portal, kila nikijaribu kuweka alama ya tick inagoma.
Je, nifanye nini kufanikiwa?
Picha hiyo hapo
View attachment 2268591
Na nikiwek kipindii hiki mda ushapita jeTranscript ni muhimu ku attach hapo lazima usiitwe
izo changamoto za kutuma zipo sawa kuna muda mwingine mtandao unasumbua ila nafasi ya kutuma ipo kwa kila mtu,mie mwenyewe nimeshatuma maombi ya kazi mbili kwa muda tofauti tofauti,ila sasa wewe unatakiwa kumpa matumaini ya kufanikiwa kutuma na sio kumwambia asitume atafute kazi ajiajiri ama afungue kiwanda hayo ni maneno yasiyo ya kiungwanaKaka changamoto za ajira portal ni nyingi na hazirekebishiki,in fact huo ni mfumo wa kuwanyima watu ajira na sio kuwapa watu ajira, sikusema kwa ubaya, atapoteza muda bure
We weka hamna shida
Ukifanikiwa kuweka naomba unishatue mkuu, nami ninachangamoto kama yako
Ww bro unachangamoto ipi ya transcript au ulicertify vyeti lakUkifanikiwa kuweka naomba unishatue mkuu, nami ninachangamoto kama yako
Kuweka tick kwenye kiboksi cha declarationWw bro unachangamoto ipi ya transcript au ulicertify vyeti lak
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app