Nashindwa kupakua App kwa kutumia simu

Nashindwa kupakua App kwa kutumia simu

Joined
Sep 25, 2021
Posts
23
Reaction score
22
Msaada simu yangu nikitaka kudanlodi application basi inalodi inazunguka tu hata asubuhi mpaka jioni haidanlodiki tatizo ni nini?
 
Sababu inaweza kuwa hizi.

Simu imejaa futa vitu vingine

Apps ziko nyingi ambazo zinahitaji update na tayari zipo autupdate so hiyo unayotaka kudownlod inaingia kwenye pending

Huna internet inayofaa

Simu yako iko outdated.
 
Nenda settings >>application>>plastore>>clear data
afu anza kudanlodi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom