Nashindwa kuchukuwa maamuzi sahihi ushauri wenu wadau

scientificall

JF-Expert Member
Jun 4, 2015
454
314
Hii ndo full story ya kinachonitatiza. Nilivyomaliza chuo kikuu nlikuwa na nia ya kutafuta mchumba na kuoa maana umri unazidi kusogea kwani mpaka sasa nina miaka 30.

Katika mazungumzo ya utani nilimdokeza dada angu kuwa mimi nataka kuoa hata kama ntakuwa sijapata ajira lakini ntajiajili mwenyewe na nahitaji kuwa na familia.

Dada alichukulia serious akasema ngoja nije nkuoneshe kabinti kana tabia nzuri na hakana skendo hio ilikuwa mwaka jana binti huyo akiwa form 1v.

Basi siku akanipgia simu dada angu huko kijijini kuwa yule binti keshamuomba namba ake ya simu.

Baada ya kuntumia namba mimi sikuanza kutaka kujua kama ni mzuri au vipi nkatupia kamaba kwa kumwambia nlipata kumuona sehemu nlivyokuwa huko kijijini kwetu.

Binti hakuwa na neno kwani alikuwa mdogo sana miaka 18 hivyo nlitumia mbinu kwa kuongea nae mara kwa mara mpaka akakubali kuwa katika mahusiano nami kwa lengo la kumuoa baadae.

Basi nkapanga safari kwenda kumuona kijijini. Tulikutania kwa dada angu tukazungumza mengi na mipango kabambe.
Ni mzuri wa wastani ila anatabia njema.
Hakutaka nimfanye chochote kwani alisema hataki sex mpaka ntakapo muoa.
Nami nkamuakikishia hilo.

Mpaka natoka kijijini sikuweza kumgegeda japo nlitamani lakini mazingira na makubaliano yaligongesha mwamba juhudi zangu.

Baada ya kurudi mjini basi nkawa nimepata ajira namshukuru Allah kipato nachokipata kwa mwezi mimi na familia tunaweza ishi na kufanya maendeleo mengine.

Huyo binti nmekuwa nawasiliana nae kama mke wa baadae na nimeshampima kiadabu na heshima kweli anayo japo sijui kama atabailika. Na ameshawambia baadhi ya ndugu zake kuwa mimi ndo mchumba wake hvyo hvi karibuni ntamuoa.

Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nafsi angu inanambia bado hujapata ambacho nafsi yako inapenda. Kwani sema kweli mimi rangi ya mtume ndo kigezo cha kwanza kwa mke wangu ila yule mtoto ni maji ya kunde sio mweupe japo nmekufa na kuoza nae ameshasalimu amri.

Mawazo ya kuoa kwangu yameshatawala ubongo kila nkiona mtoto mweupe hapa mjini natamani kuoa.

Wiki jana kaja binti mmoja mzuri hapa kazini kumchukuwa mdogo wake anaumwa asee binti nlimpenda sana kwanza anavyoongea mpaka nlimtamani nafsi ikasema haya sasaaaaa

Sema kweli nlimchelewesha kumuudumia mpaka nikaomba na namba ya simu kwa kigezo cha kuwa namjulia hali mgojwa.
Binti mweupe mansharaha mzuri.

Nlijipanga ili nianze kutupia sumu na muelekeo unaonekana atakubali sababu ameshaanza hata kuntumia picha zake na tumepanga leo tuweke bayana mezani nimwambie la moyoni juu yake sababu uzuri wake umenipagawisha japo sijajua tabia yake ipoje japo anaonekana ana tabia njema.

Sasa je nimusaliti mpenzi wangu wa zamani ambae tayari nshamuaidi kumuoa? Na je huyu binti akinkubalia ntaweza kuvumilia nsioe na mpunga nshauandaa?

Sitaki nchukue maamuzi bila kushauriwa nawasilisha kwenu jamani.

1. Mpya moyo umedata (mweupe)miaka21
2. Huyu wa zamani ( mweusi) miaka 18View attachment 1022187
IMG-20190122-WA0027.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sidhan kamani busara kuweka na hyo picha ya huyo dada hapo juu...
 
Hii ndo full story ya kinachonitatiza. Nilivyomaliza chuo kikuu nlikuwa na nia ya kutafuta mchumba na kuoa maana umri unazidi kusogea kwani mpaka sasa nina miaka 30.

Katika mazungumzo ya utani nilimdokeza dada angu kuwa mimi nataka kuoa hata kama ntakuwa sijapata ajira lakini ntajiajili mwenyewe na nahitaji kuwa na familia.

Dada alichukulia serious akasema ngoja nije nkuoneshe kabinti kana tabia nzuri na hakana skendo hio ilikuwa mwaka jana binti huyo akiwa form 1v.

Basi siku akanipgia simu dada angu huko kijijini kuwa yule binti keshamuomba namba ake ya simu.

Baada ya kuntumia namba mimi sikuanza kutaka kujua kama ni mzuri au vipi nkatupia kamaba kwa kumwambia nlipata kumuona sehemu nlivyokuwa huko kijijini kwetu.

Binti hakuwa na neno kwani alikuwa mdogo sana miaka 18 hivyo nlitumia mbinu kwa kuongea nae mara kwa mara mpaka akakubali kuwa katika mahusiano nami kwa lengo la kumuoa baadae.

Basi nkapanga safari kwenda kumuona kijijini. Tulikutania kwa dada angu tukazungumza mengi na mipango kabambe.
Ni mzuri wa wastani ila anatabia njema.
Hakutaka nimfanye chochote kwani alisema hataki sex mpaka ntakapo muoa.
Nami nkamuakikishia hilo.

Mpaka natoka kijijini sikuweza kumgegeda japo nlitamani lakini mazingira na makubaliano yaligongesha mwamba juhudi zangu.

Baada ya kurudi mjini basi nkawa nimepata ajira namshukuru Allah kipato nachokipata kwa mwezi mimi na familia tunaweza ishi na kufanya maendeleo mengine.

Huyo binti nmekuwa nawasiliana nae kama mke wa baadae na nimeshampima kiadabu na heshima kweli anayo japo sijui kama atabailika. Na ameshawambia baadhi ya ndugu zake kuwa mimi ndo mchumba wake hvyo hvi karibuni ntamuoa.

Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nafsi angu inanambia bado hujapata ambacho nafsi yako inapenda. Kwani sema kweli mimi rangi ya mtume ndo kigezo cha kwanza kwa mke wangu ila yule mtoto ni maji ya kunde sio mweupe japo nmekufa na kuoza nae ameshasalimu amri.

Mawazo ya kuoa kwangu yameshatawala ubongo kila nkiona mtoto mweupe hapa mjini natamani kuoa.

Wiki jana kaja binti mmoja mzuri hapa kazini kumchukuwa mdogo wake anaumwa asee binti nlimpenda sana kwanza anavyoongea mpaka nlimtamani nafsi ikasema haya sasaaaaa

Sema kweli nlimchelewesha kumuudumia mpaka nikaomba na namba ya simu kwa kigezo cha kuwa namjulia hali mgojwa.
Binti mweupe mansharaha mzuri.

Nlijipanga ili nianze kutupia sumu na muelekeo unaonekana atakubali sababu ameshaanza hata kuntumia picha zake na tumepanga leo tuweke bayana mezani nimwambie la moyoni juu yake sababu uzuri wake umenipagawisha japo sijajua tabia yake ipoje japo anaonekana ana tabia njema.

Sasa je nimusaliti mpenzi wangu wa zamani ambae tayari nshamuaidi kumuoa? Na je huyu binti akinkubalia ntaweza kuvumilia nsioe na mpunga nshauandaa?

Sitaki nchukue maamuzi bila kushauriwa nawasilisha kwenu jamani.

1. Mpya moyo umedata (mweupe)miaka21
2. Huyu wa zamani ( mweusi) miaka 18View attachment 1022187View attachment 1022188

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakua ki umuri miaka 30 ila ubongo na akiri zako ni za kijana wa miaka 20 ........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii picha ni huyo msichana unaye mdanganya kwamba utamuoa kama ni yeye naomba uongozi wa jamiiforums wakusindikize na ban. Hongera zangu kwa huyo msichana kwa msimamo wake,kwako mtoa mada wewe huna haja ya ndoa bali tamaa inakusumbua.
 
Ndiyo maana sipendi mtu anipige picha, iwe kwa ridhaa yangu, au pasipo ridhaa yangu. Mdada wa watu katulia kwao akijua anamchumba, kumbe anatangazwa mitandaoni.
 
Hii ndo full story ya kinachonitatiza. Nilivyomaliza chuo kikuu nlikuwa na nia ya kutafuta mchumba na kuoa maana umri unazidi kusogea kwani mpaka sasa nina miaka 30.

Katika mazungumzo ya utani nilimdokeza dada angu kuwa mimi nataka kuoa hata kama ntakuwa sijapata ajira lakini ntajiajili mwenyewe na nahitaji kuwa na familia.

Dada alichukulia serious akasema ngoja nije nkuoneshe kabinti kana tabia nzuri na hakana skendo hio ilikuwa mwaka jana binti huyo akiwa form 1v.

Basi siku akanipgia simu dada angu huko kijijini kuwa yule binti keshamuomba namba ake ya simu.

Baada ya kuntumia namba mimi sikuanza kutaka kujua kama ni mzuri au vipi nkatupia kamaba kwa kumwambia nlipata kumuona sehemu nlivyokuwa huko kijijini kwetu.

Binti hakuwa na neno kwani alikuwa mdogo sana miaka 18 hivyo nlitumia mbinu kwa kuongea nae mara kwa mara mpaka akakubali kuwa katika mahusiano nami kwa lengo la kumuoa baadae.

Basi nkapanga safari kwenda kumuona kijijini. Tulikutania kwa dada angu tukazungumza mengi na mipango kabambe.
Ni mzuri wa wastani ila anatabia njema.
Hakutaka nimfanye chochote kwani alisema hataki sex mpaka ntakapo muoa.
Nami nkamuakikishia hilo.

Mpaka natoka kijijini sikuweza kumgegeda japo nlitamani lakini mazingira na makubaliano yaligongesha mwamba juhudi zangu.

Baada ya kurudi mjini basi nkawa nimepata ajira namshukuru Allah kipato nachokipata kwa mwezi mimi na familia tunaweza ishi na kufanya maendeleo mengine.

Huyo binti nmekuwa nawasiliana nae kama mke wa baadae na nimeshampima kiadabu na heshima kweli anayo japo sijui kama atabailika. Na ameshawambia baadhi ya ndugu zake kuwa mimi ndo mchumba wake hvyo hvi karibuni ntamuoa.

Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nafsi angu inanambia bado hujapata ambacho nafsi yako inapenda. Kwani sema kweli mimi rangi ya mtume ndo kigezo cha kwanza kwa mke wangu ila yule mtoto ni maji ya kunde sio mweupe japo nmekufa na kuoza nae ameshasalimu amri.

Mawazo ya kuoa kwangu yameshatawala ubongo kila nkiona mtoto mweupe hapa mjini natamani kuoa.

Wiki jana kaja binti mmoja mzuri hapa kazini kumchukuwa mdogo wake anaumwa asee binti nlimpenda sana kwanza anavyoongea mpaka nlimtamani nafsi ikasema haya sasaaaaa

Sema kweli nlimchelewesha kumuudumia mpaka nikaomba na namba ya simu kwa kigezo cha kuwa namjulia hali mgojwa.
Binti mweupe mansharaha mzuri.

Nlijipanga ili nianze kutupia sumu na muelekeo unaonekana atakubali sababu ameshaanza hata kuntumia picha zake na tumepanga leo tuweke bayana mezani nimwambie la moyoni juu yake sababu uzuri wake umenipagawisha japo sijajua tabia yake ipoje japo anaonekana ana tabia njema.

Sasa je nimusaliti mpenzi wangu wa zamani ambae tayari nshamuaidi kumuoa? Na je huyu binti akinkubalia ntaweza kuvumilia nsioe na mpunga nshauandaa?

Sitaki nchukue maamuzi bila kushauriwa nawasilisha kwenu jamani.

1. Mpya moyo umedata (mweupe)miaka21
2. Huyu wa zamani ( mweusi) miaka 18View attachment 1022187View attachment 1022188

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Usiacho kile ulicho kitaka maishani, ghafla tu na kufuata kile ulicho kitamani FID-Q

2. Si tuna shida zetu, tuskize zako kwanini? killer Mdogo

3. Weka na picture ya huyo mwasi mweupe 12 Marook

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nis
Hii ndo full story ya kinachonitatiza. Nilivyomaliza chuo kikuu nlikuwa na nia ya kutafuta mchumba na kuoa maana umri unazidi kusogea kwani mpaka sasa nina miaka 30.

Katika mazungumzo ya utani nilimdokeza dada angu kuwa mimi nataka kuoa hata kama ntakuwa sijapata ajira lakini ntajiajili mwenyewe na nahitaji kuwa na familia.

Dada alichukulia serious akasema ngoja nije nkuoneshe kabinti kana tabia nzuri na hakana skendo hio ilikuwa mwaka jana binti huyo akiwa form 1v.

Basi siku akanipgia simu dada angu huko kijijini kuwa yule binti keshamuomba namba ake ya simu.

Baada ya kuntumia namba mimi sikuanza kutaka kujua kama ni mzuri au vipi nkatupia kamaba kwa kumwambia nlipata kumuona sehemu nlivyokuwa huko kijijini kwetu.

Binti hakuwa na neno kwani alikuwa mdogo sana miaka 18 hivyo nlitumia mbinu kwa kuongea nae mara kwa mara mpaka akakubali kuwa katika mahusiano nami kwa lengo la kumuoa baadae.

Basi nkapanga safari kwenda kumuona kijijini. Tulikutania kwa dada angu tukazungumza mengi na mipango kabambe.
Ni mzuri wa wastani ila anatabia njema.
Hakutaka nimfanye chochote kwani alisema hataki sex mpaka ntakapo muoa.
Nami nkamuakikishia hilo.

Mpaka natoka kijijini sikuweza kumgegeda japo nlitamani lakini mazingira na makubaliano yaligongesha mwamba juhudi zangu.

Baada ya kurudi mjini basi nkawa nimepata ajira namshukuru Allah kipato nachokipata kwa mwezi mimi na familia tunaweza ishi na kufanya maendeleo mengine.

Huyo binti nmekuwa nawasiliana nae kama mke wa baadae na nimeshampima kiadabu na heshima kweli anayo japo sijui kama atabailika. Na ameshawambia baadhi ya ndugu zake kuwa mimi ndo mchumba wake hvyo hvi karibuni ntamuoa.

Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nafsi angu inanambia bado hujapata ambacho nafsi yako inapenda. Kwani sema kweli mimi rangi ya mtume ndo kigezo cha kwanza kwa mke wangu ila yule mtoto ni maji ya kunde sio mweupe japo nmekufa na kuoza nae ameshasalimu amri.

Mawazo ya kuoa kwangu yameshatawala ubongo kila nkiona mtoto mweupe hapa mjini natamani kuoa.

Wiki jana kaja binti mmoja mzuri hapa kazini kumchukuwa mdogo wake anaumwa asee binti nlimpenda sana kwanza anavyoongea mpaka nlimtamani nafsi ikasema haya sasaaaaa

Sema kweli nlimchelewesha kumuudumia mpaka nikaomba na namba ya simu kwa kigezo cha kuwa namjulia hali mgojwa.
Binti mweupe mansharaha mzuri.

Nlijipanga ili nianze kutupia sumu na muelekeo unaonekana atakubali sababu ameshaanza hata kuntumia picha zake na tumepanga leo tuweke bayana mezani nimwambie la moyoni juu yake sababu uzuri wake umenipagawisha japo sijajua tabia yake ipoje japo anaonekana ana tabia njema.

Sasa je nimusaliti mpenzi wangu wa zamani ambae tayari nshamuaidi kumuoa? Na je huyu binti akinkubalia ntaweza kuvumilia nsioe na mpunga nshauandaa?

Sitaki nchukue maamuzi bila kushauriwa nawasilisha kwenu jamani.

1. Mpya moyo umedata (mweupe)miaka21
2. Huyu wa zamani ( mweusi) miaka 18View attachment 1022187View attachment 1022188

Sent using Jamii Forums mobile app
Nishamgegeda kama Mara 3 hv mume mwenza karibu
 
Kuweka picha yake sio sahihi,lakini pia tujifunze anaweza kuwa mzuri kwako kimuonekano lakini kwa mwingine akawa ni wakawaida tu;kwa hiyo zile sifa za kusema fulani ni 'beautiful' au 'handsome',unatakiwa uzitoe kwa mtazamo wako tu.kingine,huwezi kupata mzuri kwa 100% huyu utamuona mzuri kwa leo,kesho utamuona mwingine mzuri zaidi,kinachotakiwa ni kufanya maamuzi magumu.
 
Back
Top Bottom