Nasherehekea Christmas kwa huzuni

Nasherehekea Christmas kwa huzuni

Pole sana Ndugu Mungu akupe ujasiri na wagonjwa wapone haraka kwa neema zake Mungu
 
Pale roundabout kwa mbele kama unaelekea mwananyamala hospitali au ile pacha kama unaelekea victoria na makumbusho stand sasa ajali imetokea nyuma ya kile kituo cha mafuta
Makumbusho/Mwananyamala ndio wapi?

Hapo Victoria mataa ama?
 
Pale roundabout kwa mbele kama unaelekea mwananyamala hospitali au ile pacha kama unaelekea victoria na makumbusho stand sasa ajali imetokea nyuma ya kile kituo cha mafuta

Doh!

Nilihisi tu itakuwa ni maeneo hayo, hilo eneo huwa linajulikana kama chinja chinja...

Marehemu James mtoto wa Dandu/Cool James naye alikata kamba maeneo hayo hayo miaka hiyo sema yeye alikuwa ndani ya gari iliyopata ajali ...
 
Back
Top Bottom