The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,636
- 1,863
Pole sana
Makumbusho/Mwananyamala ndio wapi?
Hapo Victoria mataa ama?
Pale roundabout kwa mbele kama unaelekea mwananyamala hospitali au ile pacha kama unaelekea victoria na makumbusho stand sasa ajali imetokea nyuma ya kile kituo cha mafuta