Nasherehekea Christmas kwa huzuni

Nasherehekea Christmas kwa huzuni

Noel wa ruben

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2020
Posts
364
Reaction score
517
Awali ya yote tumshukuru mungu kwa kutufikisha siku leo tr 25.12.2021,ukiwa mzima wa afya unaweza fikiri watu wote ni wazima kama ww kumbe lahasha.

Maaandalizi ya kusherehekea yamefanyika kama kawaida siunajua ukiwa na familia kama nafasi ipo utafanya vitu tofauti kidogo watoto nao wajue baba na mama wapo. Pamoja na hayo yote kufanyika sina furaha kabsa nachofanya nikujikaza tu, sababu moja inayo nifanya kukosa amani nikua na wagonjwa ndugu zetu ambao wakiamka salama unamshukuru mungu kutokana na aina ya magonjwa wanayoumwa.

Mmoja anatatizo la homa ya ini na hali yake si nzuri madaktari wameshauri tumrudishe kwanza nyumbani maaana hospitali tumekaaa sana, wapili anahitilafu kwenye mfumo wa ubongo unaomfanya muda mwingi mwili kutetema kama amepigwa shoti, watatu anatatizo la kushindwa kukojoa jopo yeye tiba amepata na anaendelea vizur.

Mambo haya yamenifanya nione ukuuu wa mungu nimekua nikisali sana kuomba rehema kwangu na ndungu zangu pia. Ndugu zangu tufanye yote kumbuka kumuomba mungu japo kwa muda mchache hata kama huna tabia ya kusali tenga muda kidogo tu omba mungu anakusikia. Nawatakia sherehe njema mungu abariki!
 
Pole sana ndugu yangu.Naamini Mungu wetu ni mkuu,na hashindwi na jambo lolote llile Hivyo ni imani yangu kuwa atawapatia uponyaji ndugu zetu hao wanaoumwa,Amina!
 
Awali ya yote tumshukuru mungu kwa kutufikisha siku leo tr 25.12.2021,ukiwa mzima wa afya unaweza fikiri watu wote ni wazima kama ww kumbe lahasha. Maaandalizi ya kusherehekea yamefanyika kama kawaida siunajua ukiwa na familia kama nafasi ipo utafanya vitu tofauti kidogo watoto nao wajue baba na mama wapo. Pamoja na hayo yote kufanyika sina furaha kabsa nachofanya nikujikaza tu, sababu moja inayo nifanya kukosa amani nikua na wagonjwa ndugu zetu ambao wakiamka salama unamshukuru mungu kutokana na aina ya magonjwa wanayoumwa. Mmoja anatatizo la homa ya ini na hali yake si nzuri madaktari wameshauri tumrudishe kwanza nyumbani maaana hospitali tumekaaa sana, wapili anahitilafu kwenye mfumo wa ubongo unaomfanya muda mwingi mwili kutetema kama amepigwa shoti, watatu anatatizo la kushindwa kukojoa jopo yeye tiba amepata na anaendelea vizur. Mambo haya yamenifanya nione ukuuu wa mungu nimekua nikisali sana kuomba rehema kwangu na ndungu zangu pia. Ndugu zangu tufanye yote kumbuka kumuomba mungu japo kwa muda mchache hata kama huna tabia ya kusali tenga muda kidogo tu omba mungu anakusikia. Nawatakia sherehe njema mungu abariki!
Pole mkuu,

Siku nyingine ukiandika maelezo marefu kama haya au zaidi jitahidi kuweka walau paragraph tu,
 
Awali ya yote tumshukuru mungu kwa kutufikisha siku leo tr 25.12.2021,ukiwa mzima wa afya unaweza fikiri watu wote ni wazima kama ww kumbe lahasha. Maaandalizi ya kusherehekea yamefanyika kama kawaida siunajua ukiwa na familia kama nafasi ipo utafanya vitu tofauti kidogo watoto nao wajue baba na mama wapo. Pamoja na hayo yote kufanyika sina furaha kabsa nachofanya nikujikaza tu, sababu moja inayo nifanya kukosa amani nikua na wagonjwa ndugu zetu ambao wakiamka salama unamshukuru mungu kutokana na aina ya magonjwa wanayoumwa. Mmoja anatatizo la homa ya ini na hali yake si nzuri madaktari wameshauri tumrudishe kwanza nyumbani maaana hospitali tumekaaa sana, wapili anahitilafu kwenye mfumo wa ubongo unaomfanya muda mwingi mwili kutetema kama amepigwa shoti, watatu anatatizo la kushindwa kukojoa jopo yeye tiba amepata na anaendelea vizur. Mambo haya yamenifanya nione ukuuu wa mungu nimekua nikisali sana kuomba rehema kwangu na ndungu zangu pia. Ndugu zangu tufanye yote kumbuka kumuomba mungu japo kwa muda mchache hata kama huna tabia ya kusali tenga muda kidogo tu omba mungu anakusikia. Nawatakia sherehe njema mungu abariki!
Pole sana comrade Mungu awafanyie wepesi
 
Awali ya yote tumshukuru mungu kwa kutufikisha siku leo tr 25.12.2021,ukiwa mzima wa afya unaweza fikiri watu wote ni wazima kama ww kumbe lahasha. Maaandalizi ya kusherehekea yamefanyika kama kawaida siunajua ukiwa na familia kama nafasi ipo utafanya vitu tofauti kidogo watoto nao wajue baba na mama wapo. Pamoja na hayo yote kufanyika sina furaha kabsa nachofanya nikujikaza tu, sababu moja inayo nifanya kukosa amani nikua na wagonjwa ndugu zetu ambao wakiamka salama unamshukuru mungu kutokana na aina ya magonjwa wanayoumwa. Mmoja anatatizo la homa ya ini na hali yake si nzuri madaktari wameshauri tumrudishe kwanza nyumbani maaana hospitali tumekaaa sana, wapili anahitilafu kwenye mfumo wa ubongo unaomfanya muda mwingi mwili kutetema kama amepigwa shoti, watatu anatatizo la kushindwa kukojoa jopo yeye tiba amepata na anaendelea vizur. Mambo haya yamenifanya nione ukuuu wa mungu nimekua nikisali sana kuomba rehema kwangu na ndungu zangu pia. Ndugu zangu tufanye yote kumbuka kumuomba mungu japo kwa muda mchache hata kama huna tabia ya kusali tenga muda kidogo tu omba mungu anakusikia. Nawatakia sherehe njema mungu abariki!
Pole sana comrade Mungu awafanyie wepesi
 
Awali ya yote tumshukuru mungu kwa kutufikisha siku leo tr 25.12.2021,ukiwa mzima wa afya unaweza fikiri watu wote ni wazima kama ww kumbe lahasha. Maaandalizi ya kusherehekea yamefanyika kama kawaida siunajua ukiwa na familia kama nafasi ipo utafanya vitu tofauti kidogo watoto nao wajue baba na mama wapo. Pamoja na hayo yote kufanyika sina furaha kabsa nachofanya nikujikaza tu, sababu moja inayo nifanya kukosa amani nikua na wagonjwa ndugu zetu ambao wakiamka salama unamshukuru mungu kutokana na aina ya magonjwa wanayoumwa. Mmoja anatatizo la homa ya ini na hali yake si nzuri madaktari wameshauri tumrudishe kwanza nyumbani maaana hospitali tumekaaa sana, wapili anahitilafu kwenye mfumo wa ubongo unaomfanya muda mwingi mwili kutetema kama amepigwa shoti, watatu anatatizo la kushindwa kukojoa jopo yeye tiba amepata na anaendelea vizur. Mambo haya yamenifanya nione ukuuu wa mungu nimekua nikisali sana kuomba rehema kwangu na ndungu zangu pia. Ndugu zangu tufanye yote kumbuka kumuomba mungu japo kwa muda mchache hata kama huna tabia ya kusali tenga muda kidogo tu omba mungu anakusikia. Nawatakia sherehe njema mungu abariki!
Pole ndugu amahakika kuugua nakuuguza ni ibada mbeleza uso wa Mungu,tuendelee kumtumainia Mungu naeatatoa uponyaji kwa ndugu wanaoumwa, Barikiwa sana.
 
Baba wa Milele, tunakutolea Mwili na Damu,Roho na Umungu wa Mwanao Mpenzi sana Bwana wetu Yesu Kristo, Kwa Kulipia Dhambi Zetu na dunia nzima.

Kwa ajili ya Mateso Makali ya Bwana wetu Yesu Kristo. Utuhurumie sisi na Dunia nzima.
 
Mimi leo nimeshuhudia mtu kagonjwa na gari(Nissan) na kufa papo hapo maeneo ya Makumbusho/Mwananyamala mida ya saa moja usiku huu
 
Wakati mwingine magonjwa yapo kama mitihani, ibada ya maombi ni muhimu kama ulivyosisitiza...

Nduguzo wapate uponyaji na wakawe sawa tena...
 
Mimi leo nimeshuhudia mtu kagonjwa na gari(Nissan) na kufa papo hapo maeneo ya Makumbusho/Mwananyamala mida ya saa moja usiku huu

Makumbusho/Mwananyamala ndio wapi?

Hapo Victoria mataa ama?
 
Back
Top Bottom