Utawajibika kwa matendo yako, baada ya kutajwa Kama mhusika. PoleKwa nia nzuri. Nashauri mamlaka husika. Wanafunzi hawa waachwe wamalize shule salama.
Nafaham ni taratibu za shule nyingi kufanya hivyo pindi tu wanafunzi wanaporejea shule. Kwa mazingira ambayo janga hili limesababisha kuwapima itakuWa ni kuwaongezea mzigo mwingine wa mawazo na huenda wakashindwa kutulia kwenye mitihani yao. Wana siku 26 tuu.
Sina kiherehere... Ila kuna baadhi ya shule huwa zina viherehere vya kuwasumbua watoto.
Tuwaache Wamalize. Mkipima mtajuta.
By the way Wizara ilishakiri. PREGNANCY TEST TO SECONDARY STUDENTS IT IS NOT MANDATORY.
Karibuni kWa maoni.
Asante,sina mkuuTayari Mkuu. Una lingine.
Ki utaratibu hawapaswi kufanya hivyo labda kama mkuu hajaujua utaratibu wa kupimaNimetoa angalizo hapo "kuna shule zina viherehere", trust me!
Kuna mdada ushamtia mimba changa??Kwa nia nzuri. Nashauri mamlaka husika. Wanafunzi hawa waachwe wamalize shule salama.
Nafaham ni taratibu za shule nyingi kufanya hivyo pindi tu wanafunzi wanaporejea shule. Kwa mazingira ambayo janga hili limesababisha kuwapima itakuWa ni kuwaongezea mzigo mwingine wa mawazo na huenda wakashindwa kutulia kwenye mitihani yao. Wana siku 26 tuu.
Sina kiherehere... Ila kuna baadhi ya shule huwa zina viherehere vya kuwasumbua watoto.
Tuwaache Wamalize. Mkipima mtajuta.
By the way Wizara ilishakiri. PREGNANCY TEST TO SECONDARY STUDENTS IT IS NOT MANDATORY.
Karibuni kWa maoni.
ni balaa mkuuHapana. Ila huku mtaani navishuhudia vi form 4 na 3 vishapigwa. Sasa hao wakubwa si ndo itakuwa balaa.
Hao Watoto sio wako. Umeshakula ada yao. Waache waondoke.Mimi shuleni kwangu nitawapima tu na watakaokutwa nazo wajiandae kufanya mtihani kama PC mwakani na sio mwaka huu tena never. Tuache ku-entertain Upumbavu ili tujenge kizazi bora na chenye maadili.
Ndio kwenye kiongozi cha mkuu wa shuleHuo muongozo wa upimaji unajulikana na upo ki kanuni kabisa!??
Soma tena main post.
Kama ndio hivyo basi hao wazazi wasingewaleta kwetu, wangefundishia huko majumbani mwao kusikokua na sheria, kanuni na taratibu.Hao Watoto sio wako. Umeshakula ada yao. Waache waondoke.
Ni mali ya wazazi wao sasa.