kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Ili kuweka historia ya Ubingwa wetu kwa mwaka 2018/2019 Uongozi wa Klabu Bingwa Tanzania ukodishe helikopta ambayo itawabeba mashujaa wetu na kuwatua katikati ya uwanja na baada ya mchezo na kukabidhiwa kombe.
Helikopta itarudi tena Uwanjani kuwabeba Mashujaa wetu na Kombe letu hadi liliko Basi letu. Tunaomba Helikopta hiyo ipambwe kwa Rangi za bendera za Klabu ya Simba.
Helikopta itarudi tena Uwanjani kuwabeba Mashujaa wetu na Kombe letu hadi liliko Basi letu. Tunaomba Helikopta hiyo ipambwe kwa Rangi za bendera za Klabu ya Simba.