Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,348
- 4,382
- Thread starter
- #41
Hao watu wengi ni kina nani? Wamefanya nini kuonyesha huo uhitaji? Unaweza taja watatu wa mfano?
Kuwa serious, Wanasimba tunataka timu iwe vizuri sio ipotee zaidi. Kama kuna mbadala wa Mo ambao ni bora tunautaka ila tusicheze bahati nasibu tukajikuta tumekaa miaka 4 na zaidi tukisubiri wa kuichukua nafasi ya Mo. Thus, kama kweli ww una hakika kuwa kuna mbadala wa Mo, embu jibu hayo maswali hapo juu.
Fuatilia speech ya Samia suluhu siku aliyozungumza kuhusu ishu ya Fei, kuna jambo alizungumza kwa GSM. Halafu utajua kuwa club haitengenezi mapato ya kutosha kuweza kujiendesha na inamhitaji mwekezaji. Yanga kabla ya gsm ilikuaje? Hapakuwa na kutembeza bakuli? Mapato ya timu yalikuwa wapi kuiendesha timu?
Kwanini miezi 6? Kwanini siyo miezi 2? Au mwaka 1 au miaka 5?
Sawa, ndani ya miezi miwili.