Hv hiz pic ni zako mase....ama umedokoa pahalaKweli kabisa
Niwaombe wahusika ndani ya CHADEMA mumuombee ulinzi wa kutosha Meya Jacob hasa kipindi hiki na barua ya kumuombea ulinzi huo Polisi iwekwe HADHARANI.
Kweli kabisa Mkuu huyu uhai wake uko hatarini sana Bashite na kundi lake la wauaji bila shaka watakuwa wanamuwinda huyu.
Mkuu watu kama hawa wanakuwa tayari wameshaingia mkataba na shetani. haya maswala hayawasumbui. Hawana Mungu kabisa kwa hiyo hawana dhamira inayowasuta maana wanaishi tayari katika ufalme wa mkulu wao a.k.a shetani. Kwa maana hiyo nao pia ni mashetani ambao wanaishi kama binadamu na wanapewa madaraka na nguvu za ajabu. Kwao hapa duniani ndio paradise na madhambi wanayoyafanya ndio mvinyo wa kuwaongezea utukufu mbele ya bosi wao a.k.a Ibilisi. Pamoja na kupambana kisiasa kuna haja kubwa ya kuongeza maombi kupambana na jeshi hili ovu la kishetani...maana wapo wengi sana sana!Hivi mtu unayehisiwa kwa kufanya maovu hata usingizi unalala kweli? Ni njozi gani unaota? Ni sauti ya roho ipi unasikia? Kuna sauti ya Mungu aliye hai na shetani! Unawaza nini wakati wote? Utakumbuka kama sote ni wapitaji chini ya jua?. Utakumbuka kuna hukumu itakayotolewa utakapouacha ulimwengu huu!?
Akumbuki hayo kajitoa ufahamu anamtumikia mfalme juhaHivi mtu unayehisiwa kwa kufanya maovu hata usingizi unalala kweli? Ni njozi gani unaota? Ni sauti ya roho ipi unasikia? Kuna sauti ya Mungu aliye hai na shetani! Unawaza nini wakati wote? Utakumbuka kama sote ni wapitaji chini ya jua?. Utakumbuka kuna hukumu itakayotolewa utakapouacha ulimwengu huu!?
Nilitegemea watoto Wa kike. Kama we we kuongia kwenye choo cha wanaume kaanzishe Uzi wako kule Lumumba mjinga ww