Wizara zilizoundwa na Rais wa awamu ya tano baadhi yake kwangu Mimi zinatamkika vibaya na hazina utamkaji wa kisayansi. ( They are not scientifically arranged).
Kwa mfano wizara kama ya afya, usitawi wa jamii, jinsia, wazee na watoto ingeitwa tu wizara ya Afya na usitawi wa jamii.
Jinsia, wazee na watoto ni mambo yanayofungwa yote kwenye Ustawi wa Jamii na ingetamkika kisayansi zaidi.
Kuna jina hapa refu na sidhani kama linavutia kulitamuka.Wizara ya Nape nayo in ndefu sana.Ilifaa iitwe tu wizara ya habari, utamaduni na michezo.Wasanii wako kwenye michezo hiyo hiyo.Kuongeza wasanii kama ilivyo jina la afya------------, ni nzuri kisiasa maana itaonekana kuna watu wamepewa wizara nao (political correctness) lakini siyo sawa kisarufi na kimwonekano. ( it isn't grammatical and scientific correct).
Nionavyo mimi baadhi ya majina ya wizara yafanyiziwe kazi ili yatamkike na yaonekane vizuri.
Nawasilisha!
Kwa mfano wizara kama ya afya, usitawi wa jamii, jinsia, wazee na watoto ingeitwa tu wizara ya Afya na usitawi wa jamii.
Jinsia, wazee na watoto ni mambo yanayofungwa yote kwenye Ustawi wa Jamii na ingetamkika kisayansi zaidi.
Kuna jina hapa refu na sidhani kama linavutia kulitamuka.Wizara ya Nape nayo in ndefu sana.Ilifaa iitwe tu wizara ya habari, utamaduni na michezo.Wasanii wako kwenye michezo hiyo hiyo.Kuongeza wasanii kama ilivyo jina la afya------------, ni nzuri kisiasa maana itaonekana kuna watu wamepewa wizara nao (political correctness) lakini siyo sawa kisarufi na kimwonekano. ( it isn't grammatical and scientific correct).
Nionavyo mimi baadhi ya majina ya wizara yafanyiziwe kazi ili yatamkike na yaonekane vizuri.
Nawasilisha!