Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nasari apokewa na watazamaji kama mbunge wa Arusha mjini rasmi, Mbunge wa Arusha mjini Mh Kamanda Nasari alieingia kwania ya kuangalia pambano la Yanga na JKT Oljoro aligeuka lulu baada ya kila mtazamaji kutaka kusalimiana nae na kumpa mawili matau kama mbunge wa Arusha mjini hali hiyo ilipelekea Nasari kuzunguka uwanja mzima akisalimiana na wazatazamaji na wengi wakisahau kwa muda kilicho wapeleka uwanjani hapo baada ya kumuona kamanda Nasari Joshua....