Nasaha ya usiku huu kwa single mother

Nasaha ya usiku huu kwa single mother

Mgirik

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
13,258
Reaction score
13,368
Hey! Atention!kama wewe ni single mother na kama unataka kuingia kwenye ndoa basi zingatia machache haya:

kwanza kabisa kabla mwanaume hajakutamkia suala la kukuoa huwa anakuwa na maswali mawili au zaidi juu yako.
1. Kwa nini umepata mimba nyumbani?
2. Kwa nini aliyekupa mimba amekukataa?
3. Kwa nini amemkataa hata mtoto aliye zaliwa?

Baada ya kujiuliza hayo maswali baadae anajipa majibu yasiyokuwa na usahihi bali atahitaji kuthibitisha kutoka kwako kulingana na tabia yako na mwenendo wao.

Majibu hayo ni kama haya:
1. Alikuwa kicheche yawezekana
2. Yawezekana anatabia njema lakn jamaa aliyempa mimba ndio alikuwa haeleweki.
3. Yawezekana alikuwa anadaka ovyo wanaume
4. Au yawezekana mhusika wa hyo mimba amesingiziwa tu.

Sasa hapo wewe dada ndio unatakiwa umwondoe wasiwasi huyo mwanaume ili akuoe bila wasi wasi kwa kufanya haya;

1. Epuka mazoea ya ovyo na wanaume. Yaani leo juma kaomba namba unampa, kesho Mgirik kakutania kidogo tayari umeshamzoea mpaka kuja geto.

2. Epuka kujifanya unazijua sana majina ya Lodge na mahotel na bei zake.
3. Epuka sana kuzungumzia mahusiano yaliyopita.
4. Epuka tabia ya kumfanya jamaa akuone wewe mwaminifu kwa kumwambia kila mwanaume anayekutongoza.
5. Epuka kuombaomba misaada hasa ile ya starehe kama, simu n.k
6. Epuka kumshawishi kwenda disco, mara kwenye mafiesta nk.

Ni hayo machache na mengne changanya na yakwako.

Cc KIKwete
 
Mi nafikiri ushauri best kwa single mom ni kutafuta kazi na kumlea mwanae bila kutegemea mtu....
the rest ni majaliwa

yeah! Ni kweli mkuu lakn kazi sio suruhisho la kila kitu.
Na sio kwamba single mom wote hawana kaz wengnne wana vipato vikubwa tu. Lakn suala la ndoa lina nafas yake.
 
on my way to the single moms state...
 
Tuwaache hawa kina mama wapumue. Tunawavictimize wakati sisi wenyewe wanaume ndio tunawapa mimba na kuzikataa.

Tuacheni haya mambo.

Mkuu uko juu hili swala wote tunashare rensponsibility,naona vidole vinaelekezwa upande mmoja tu,mie nikizaa nikaachwa nitalea mwanangu ila I will be actively searching for a man,najua sitakosa lol.....mwanangu anahitaji father figure atiiiii lol...and yes there are good men outhere ambao wanalea watoto sio wao kwa roho safi kabisaaa.......hizi mada za single moms tangia masai dada atoe na nyie sijui mmekurupukia wapi,badala ya kuwapa matumaini/confidence single moms nyie mnachojua ni kublame tu ....mmmmmnh
 
Back
Top Bottom