Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Mwanamuziki Nasir aka Nas amefunguka na kuelezea tabu na manyanyaso ambayo ameyapata kutoka kwa mtalaka wake Kelis ikiwa ni pamoja na kumtolea maneno ya kashfa na kumnyima fursa ya kuonana na mwanae wa kiume Knight.
Nasir katika ukurasa wake wa Instagram ameeleza kwamba amekaa na tabu zote hizi kwa zaidi ya miaka 10 huku aliyekua mkewe aki pretend kama mwanamke anayenyanyasika wakati siyo ukweli.
Binafsi kama fan wa Nas nimeumizwa sana na taarifa nilizozisikia juu ya matendo yanayofanywa na Kelis juu ya aliyekuwa mumewe.
Nadhani wanawake waamerika weusi wana tatizo fulani katika kumaintain ndoa au relationship.
Nasir katika ukurasa wake wa Instagram ameeleza kwamba amekaa na tabu zote hizi kwa zaidi ya miaka 10 huku aliyekua mkewe aki pretend kama mwanamke anayenyanyasika wakati siyo ukweli.
Binafsi kama fan wa Nas nimeumizwa sana na taarifa nilizozisikia juu ya matendo yanayofanywa na Kelis juu ya aliyekuwa mumewe.
Nadhani wanawake waamerika weusi wana tatizo fulani katika kumaintain ndoa au relationship.