Muda wote mliokuwa mna-chart ilikuwa mna-chart nn?
-ulijua imani yake mpaka ukampelekea biblia?
-mlikutania wapi? Kazini kwako,njiani,NYUMBA ni kwake.
-alikuandalia nn?
-zawadi yako aliipokeaje?
- mlipoagana alikusindikizaje?
Na alikuambia neno gani la mwisho.
-je,ulimualika akutembelee kama ndio alikujibu nn