Naona kakutana na binti. Mwisho wa siku hajamweleza chochote ila anataka kumuoa huku furaha yake imepotea. Je alimtongoza mwanamke? Je mwanamke amempotezea baada ya kuonana? Ameniacha kwa hapo
Naona kakutana na binti. Mwisho wa siku hajamweleza chochote ila anataka kumuoa huku furaha yake imepotea. Je alimtongoza mwanamke? Je mwanamke amempotezea baada ya kuonana? Ameniacha kwa hapo
Mkuu sina akili ya kukutana tu na kutongoza apo apo,japo nilisha sema nae na akajibu ni mapema sana, na mimi amekaa kwenye akili yangu adi nahisi kupoteza furaha yangu na ndo mana nauliza kipi nifanye nirudi normal
Mkuu sina akili ya kukutana tu na kutongoza apo apo,japo nilisha sema nae na akajibu ni mapema sana, na mimi amekaa kwenye akili yangu adi nahisi kupoteza furaha yangu na ndo mana nauliza kipi nifanye nirudi normal