Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,109
Chadema safari hii haitoboi mzee, Mbowe anakiaribu chama.Mwaka wa tano Sasa msemo huo huo
Chadema safari hii haitoboi mzee, Mbowe anakiaribu chama.Mwaka wa tano Sasa msemo huo huo
Labda polisi wasiende likizoChadema safari hii haitoboi mzee,Mbowe anakiaribu chama.
Ukweli ndani ya moyo wako unaujua,hawatafika wabunge 10 wa chademaLabda polisi wasiende likizo
Usipokuwa wa haki labdaUkweli ndani ya moyo wako unaujua,hawatafika wabunge 10 wa chadema
nikweli lakini tunaangalia matokeo ya makosa,tatizo sisi vijana wa chadema hatupendi kabisa kuambiwa ukweli,Chama siyo cha Mbowe, Slaa, wala nani. Ni mali ya wanachama. After all, Slaa yuko CCM. Anahusika nini na CHADEMA? Viongozi watakuja na kuondoka, ila CHADEMA itabaki palepale.
mimi sina tatizo na mboe,isipokuwa mfumo wa mboe ndio chanzo cha kuharibu democrasia nchiniChadema safari hii haitoboi mzee, Mbowe anakiaribu chama.
mboe ndo nani?mimi sina tatizo na mboe,isipokuwa mfumo wa mboe ndio chanzo cha kuharibu democrasia nchini
Sent using Jamii Forums mobile app