meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Ni bahati mbaya sana kwa kuwa hatuna utaratibu wakusikiliza kwa umakini na kuchambua hotuba zinazotolewa na viongozi mbalimbali wa kisiasa nchini hasa wanapokua kwenye mikutano yao ya kujenga vyama.
Bahati nzuri mimi nilijitahidi kumsikiliza kinana hiyo juzi na moja ya maneno aliyotamka ni kuhusu chama cha muungano wa NARC cha nchini kenya.
Kinana alikuwa akiifananisha ahadi ya chadema ya katiba ndani ya siku mia moja na ahadi ya NARC enzi hizo,alisema NARC iliwaahidi wakenya katiba mpya ndani ya muda mfupi lakini katiba ilipatikana baadae sana tena karibia na uchaguzi mkuu.
Baada ya kutamka haya ndg Kinana kama anavyopenda kuitwa alisititiza ''hata wakichukia(hao NARC) acha wachukie''
Hapa naona Kinana alimrushia dongo babu Kibaki ambaye juzi juzi tu tumempatia barabara ya bwagamoyo!
Bahati nzuri mimi nilijitahidi kumsikiliza kinana hiyo juzi na moja ya maneno aliyotamka ni kuhusu chama cha muungano wa NARC cha nchini kenya.
Kinana alikuwa akiifananisha ahadi ya chadema ya katiba ndani ya siku mia moja na ahadi ya NARC enzi hizo,alisema NARC iliwaahidi wakenya katiba mpya ndani ya muda mfupi lakini katiba ilipatikana baadae sana tena karibia na uchaguzi mkuu.
Baada ya kutamka haya ndg Kinana kama anavyopenda kuitwa alisititiza ''hata wakichukia(hao NARC) acha wachukie''
Hapa naona Kinana alimrushia dongo babu Kibaki ambaye juzi juzi tu tumempatia barabara ya bwagamoyo!