Napokea maoni katika hatua yangu ya kutunga AMRI rafiki na halisia za kabla na baada ya kifo

Rwaz

JF-Expert Member
May 3, 2013
1,969
3,320
Mimii si mwandishi mzuri lakin nitafupisha kadri ujumbe ufike. tunakubaliana kuwa dini na imani yoyote ulenga kuweka sawa mahusiano kati ya Muumba na muumbwa/viumbwa.

Kwa vile imani ni nyingi na zipo zinaendana na mahitaj ya jamii flani, si mbaya busara zikijikusanya kama za vitabu tulivyoletewa nasi tukaweka misingi ya imani yetu kadri tuonavyo inafaa. Naanza na maboresho yafuatayo katika kitabu kipya hicho. anayejua mengi ataulizwa mengi ni vyema tujiwekee kanuni zinazoishika.

1. Amri za Muumbaji hazitahusisha kufanya tendo/kutofanya tendo kusikomuumiza mwenzako. mf. amri ya kutozini inafutwa kama hakuna ubakaj wala fumanizi.
2. Amri ya usiue haitahusisha anayehatarisha uhai wa wengine.
3.Amri ya kuwaheshim wazaz haitahusu wazazi wanaotoa malezi ya ovyo na hatarishi au kutojari.
4. Amri ya kusali sabato iwe ni popote tu sali na fanya kazi siku yoyote.
5. Amri ya kutaman cha jiran inafutwa. ibaki ya usiibe.

Ongeza maboresho ndugu
 
vyema tujiwekee kanuni zinazoishika.

Kanuni zilizopo haziishiki?...Au wewe hUtaki kuzifuata?
 
vyema tujiwekee kanuni zinazoishika.

Kanuni zilizopo haziishiki?...Au wewe hUtaki kuzifuata?
si vibaya ukubali kwanza kuwa Muumba hajawai kuleta kanuni au sharia. ni namna tu ya kuzipa uzito wa kufuatwa busara za watu wa nyakati. tunajarib kuboresha tubaki na yale yanayotekelezeka ili kila nafs ijihis hatia halali. mf. unaingizaje kuua kwenye abortion na umebakwa na vibaka!
 
Duhhhh....
Kwahiyo wewe ni yupi kati ya muunba na muumbwa..??
mi muumbwa. usitake kuwa wa mwisho kuamini Muumba alikabidhi kitabu chochote cha kanuni za kuishi kwa mtu yoyote! ila unyeti wa kanuni zenyewe ndo huvipa hadhi ya utakatifu vitabu hivyo/ majumuisho ya hekima na busara hizo.
 
Back
Top Bottom