kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,129
Wakuu salaam
Napendekeza serikali ijenge ukuta mkubwa kuzunguka mipaka ya kenya na Tanzania na kuwepo na mlango mmoja tuu wa kuingilia na kutokea..
Hii itasaidia kuzuia mifugo yote inayovuka mipaka.. Vile vile tutakua tumedumisha undugu.. Ukirejea namna tulivyo choma vifaranga moto na kuuza wale ng'ombe WA kenya...
Kukiwa na mlango mmoja nadhan itakua rahisi sana kudhibiti muingiliano usio rasmi.. Kumbuka sisi hatujaribiwi..naona kama majirani zetu wameanza kuwashwa washwa... Na wasitujibu sisi hovyo wanavyotaka wao sisi hatujibiwi hovyo...
Kama mgodini tumeweza kujenga ukuta kwann tushindwe mpakani kenya.. Hapa ni ukuta tuu kuzunguka nchi yetu...na nguvu kazi tunayo,na pesa zetu zipo nyingi tunakusanya kodi na kuvuka malengo
Nawasilisha
Napendekeza serikali ijenge ukuta mkubwa kuzunguka mipaka ya kenya na Tanzania na kuwepo na mlango mmoja tuu wa kuingilia na kutokea..
Hii itasaidia kuzuia mifugo yote inayovuka mipaka.. Vile vile tutakua tumedumisha undugu.. Ukirejea namna tulivyo choma vifaranga moto na kuuza wale ng'ombe WA kenya...
Kukiwa na mlango mmoja nadhan itakua rahisi sana kudhibiti muingiliano usio rasmi.. Kumbuka sisi hatujaribiwi..naona kama majirani zetu wameanza kuwashwa washwa... Na wasitujibu sisi hovyo wanavyotaka wao sisi hatujibiwi hovyo...
Kama mgodini tumeweza kujenga ukuta kwann tushindwe mpakani kenya.. Hapa ni ukuta tuu kuzunguka nchi yetu...na nguvu kazi tunayo,na pesa zetu zipo nyingi tunakusanya kodi na kuvuka malengo
Nawasilisha