Napenda wanaume wa kiarabu

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Napenda wanaume wa kiarabu, wa kipemba, na wa pwani mombasa haswaaa
maana wanajua mahaba navyoskia
hata wazunguuuu
mm nawapendea waarab yale mambo yao tyuuuuu
Napenda hata wanaume weuc tiiiii handsome ila awe wa pwaniiii
Unguja, pemba, mombasa, uarabuni haswaa dubai, tanga
Nawapenda mnoooooo
Yale mambo yetuuuu ya kwenye mahaba ni wajuz sana
Mm nyang'anyang'a haswaa akiwa handsome halaf akiwa na mwili wa mazoezi, msafi mstaarab yaan ni utamu kunoga
 
NA KAMA ANALIJUA MAANA YAKE BANDA LAKE LIKO WAZI ... DAH! MAJANGA ... ASUBIRI UZEENI ASUMBUKE NA MANEPI MAKUBWA AKA TAULO
Atakua keshajipanga huyo..Mpaka anawapenda watu wa pwani tu lazima washampa mautamu huyo
 
Atakua keshajipanga huyo..Mpaka anawapenda watu wa pwani tu lazima washampa mautamu huyo
Sio mautamu hayo, ni mambo ya kishetani, pia kumbukeni mashetani huwa yanapenda kukaa baharini ..
 
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mimi ni Mwarabu Mweusi wa Kilwa Kisiwani-- tunafanana kiutamaduni hao uwapendao! U hali gani swahiba angu pambeetyu?!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…