Hii mechi hii Simba ana droo au kushindahabari Wana JF,
Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzito pale ambapo kipindi Cha kwanza ubao utasomeka Al ahly 5- 0 Simba.
Kwa hasira na fedheha makolo wenzangu watakimbia uwanjani na watang'oa viti japo sijui itaisha vp
Ila Kwa hiki kikosi chetu naona tutapigwa kitu kizito
Kiapo changu
Mimi kama Labani og Laban of mchambuzi mahiri wa soka hapa JF. Naapa Kwamba Simba akishinda au kutoa droo nipigwe ban ya wiki on the spot kwanini nipigwe ban baadaya Simba kushinda... coz ntakua nmeshindwa kutumia profession yangu vizuri ya uchambuzi hivyo nipigwe ban as a way to take responsibility.
View attachment 2946545
Uzuri ni kwamba huna chochote utakachofanya uwanjani, umeleta maneno tu tena ya kipumbavhabari Wana JF,
Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzito pale ambapo kipindi Cha kwanza ubao utasomeka Al ahly 5- 0 Simba.
Kwa hasira na fedheha makolo wenzangu watakimbia uwanjani na watang'oa viti japo sijui itaisha vp
Ila Kwa hiki kikosi chetu naona tutapigwa kitu kizito
Kiapo changu
Mimi kama Labani og Laban of mchambuzi mahiri wa soka hapa JF. Naapa Kwamba Simba akishinda au kutoa droo nipigwe ban ya wiki on the spot kwanini nipigwe ban baadaya Simba kushinda... coz ntakua nmeshindwa kutumia profession yangu vizuri ya uchambuzi hivyo nipigwe ban as a way to take responsibility.
View attachment 2946545
Hello , hujamboo bossyHujambo
Uwe unapunguza utotohabari Wana JF,
Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzito pale ambapo kipindi Cha kwanza ubao utasomeka Al ahly 5- 0 Simba.
Kwa hasira na fedheha makolo wenzangu watakimbia uwanjani na watang'oa viti japo sijui itaisha vp
Ila Kwa hiki kikosi chetu naona tutapigwa kitu kizito
Kiapo changu
Mimi kama Labani og Laban of mchambuzi mahiri wa soka hapa JF. Naapa Kwamba Simba akishinda au kutoa droo nipigwe ban ya wiki on the spot kwanini nipigwe ban baadaya Simba kushinda... coz ntakua nmeshindwa kutumia profession yangu vizuri ya uchambuzi hivyo nipigwe ban as a way to take responsibility.
View attachment 2946545
Upupu mtupu..Nilishatengeneza system....so naingiza pesa ndefu ....mkuu that's y sifanyi kazi sana .....
I'm not working for money .....but money is working for me
Hiyo haijalishi lakini uache umamaNaweza kuwa na umri zaidi wa mzazi wako mkuu