Wewe sio mchambuzi wa soka ila mchambuzi wa Mchele.Mimi kama @Labani og Laban of mchambuzi mahiri wa soka hapa jf ...naapa Kwamba Simba akishinda au kutoa droo nipigwe ban ya wiki on the spot kwanini nipigwe ban baadaya Simba kushinda... coz ntakua nmeshindwa kutumia profession yangu vizuri ya uchambuzi hivyo nipigwe ban as a way to take responsibility
Mkubwa unapuyanga sana aisee..yaani sikua najua km na wewe ndio km wale tu..ila hongeraTuombee huyo jamaa kwenye background ya picha asiingie uwanjani kufukia dawa
Waarabu hawatamwacha salama
Dah..habari Wana jf
Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzitopale ambapo kipindi Cha kwanza ubao utasomeka Al ahly 5- 0 Simba
Kwa hasira na fedheha makolo wenzangu watakimbia uwanjani na watang'oa viti japo sijui itaisha vp
Ila Kwa hiki kikosi chetu naona tutapigwa kitu kizito
kiapo changu
Mimi kama Labani og Laban of mchambuzi mahiri wa soka hapa jf ...naapa Kwamba Simba akishinda au kutoa droo nipigwe ban ya wiki on the spot kwanini nipigwe ban baadaya Simba kushinda... coz ntakua nmeshindwa kutumia profession yangu vizuri ya uchambuzi hivyo nipigwe ban as a way to take responsibility
View attachment 2946545
Sawa mkuu tumekusoma na kukuelewa lakini kwanini ukate tamaa? nafikiri ungejaribu kuwashauri Simba nini cha kufanya badala ya kuwakatia tamaa.habari Wana jf
Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzitopale ambapo kipindi Cha kwanza ubao utasomeka Al ahly 5- 0 Simba
Kwa hasira na fedheha makolo wenzangu watakimbia uwanjani na watang'oa viti japo sijui itaisha vp
Ila Kwa hiki kikosi chetu naona tutapigwa kitu kizito
kiapo changu
Mimi kama Labani og Laban of mchambuzi mahiri wa soka hapa jf ...naapa Kwamba Simba akishinda au kutoa droo nipigwe ban ya wiki on the spot kwanini nipigwe ban baadaya Simba kushinda... coz ntakua nmeshindwa kutumia profession yangu vizuri ya uchambuzi hivyo nipigwe ban as a way to take responsibility
View attachment 2946545
🙆😂🤣Kila nikiigoogle Yanga linatokea neno Ubuntu Botho
Tayari ile degedege yako imerudi tenahabari Wana jf
Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzitopale ambapo kipindi Cha kwanza ubao utasomeka Al ahly 5- 0 Simba
Kwa hasira na fedheha makolo wenzangu watakimbia uwanjani na watang'oa viti japo sijui itaisha vp
Ila Kwa hiki kikosi chetu naona tutapigwa kitu kizito
kiapo changu
Mimi kama Labani og Laban of mchambuzi mahiri wa soka hapa jf ...naapa Kwamba Simba akishinda au kutoa droo nipigwe ban ya wiki on the spot kwanini nipigwe ban baadaya Simba kushinda... coz ntakua nmeshindwa kutumia profession yangu vizuri ya uchambuzi hivyo nipigwe ban as a way to take responsibility
View attachment 2946545
Cc moderatorsIla Mods na nyie sijui mna...au basi tu, ila mnazingua kwakweli.
Mtu alishaomba apigwe ban kama Simba ingeshinda kwenye mechi zake kadhaa za nyuma, Simba ikashinda na bado hamkumpiga ban huyu kenge.
Mna maslahi gani naye huyu kenge wa kijivu?