Napenda kutongoza, nayachukia mahusiano

Napenda kutongoza, nayachukia mahusiano

Auncle T

Member
Joined
Aug 17, 2021
Posts
16
Reaction score
19
Nawasalimu kwa jina la JF.

Mimi ni kijana undergraduate chuo x

Kama Title inavyo jieleza. Nimejikuta ni mtu ambae NAPENDA sana kuwatongoza mabinti asa wanachuuo wenzangu na kitu cha kushangaza wengi hujikuta wakinaswa na timing Zangu.

Shida inaanza pale tu wanapoanza kuonesha dalili ya kukubaliana na mimi au kunipokea mmoja kwa mmoja najikuta siwi interested nao tena ata kuongea nao sitaki kabisa.

Ali hii immenifanya niwe single kwa mda mrefu mpaka sasa pili nimejikuta nikichukiwa na mabinti wengi apa chuoni kila ninapokatiza ninanyooshwewa kidole

Lengo la kujieleza ivi nipate mwanga wa kujikomboa na uraibu huu. KILA BINTI NINAE KUTANA NAE NAJIKUTA NIMMETIA VERSI

NB. Kama upo mwenzangu na mimi tushee experience.
 
Chuoni mimi hata kutongoza nilikua sipendi na nilikua Najiona HB kinoma,

Nilitolea nje mademu wengi sana, Ila leo hii hata wakuniambia Mambo simuoni 🤣🤣🤣🤣

Nimemaliza kusoma nataka mademu ndo siwapati sasa 😃
 
Hivi unapata wapi muda wa kuja kuandika andika mambo ya kijinga JF? Hivi wahadhiri wa chuo kikuu mmeacha kutoa supplementary? hawa watoto hawasomi kabisa
 
Hivi unapata wapi muda wa kuja kuandika andika mambo ya kijinga JF? Hivi wahadhiri wa chuo kikuu mmeacha kutoa supplementary? hawa watoto hawasomi kabisa
huo muda wa kuriply mambo ya kijinga unautoa wapi ivi maisha yamekua rahisi kiasi hiki?? au vitu vya kuvumbua vimmeisha
 
Chuoni mimi hata kutongoza nilikua sipendi na nilikua Najiona HB kinoma,

Nilitolea nje mademu wengi sana, Ila leo hii hata wakuniambia Mambo simuoni 🤣🤣🤣🤣

Nimemaliza kusoma nataka mademu ndo siwapati sasa 😃
Tongoza wa mtaa
 
Ww una mtego wa kukamata swala ila hauna meno, sisi ambao tuna meno hatuna mtego tukalalamike wap?
 
Aha sawa una updates mistari sio mbaya lakini

Nitakuona mpuuzi kama utarudi kijijini kwenu kupiga punyeto
 
Utakuwa mgonjwa...
Nawasalimu kwa jina la JF.

Mimi ni kijana undergraduate chuo x

Kama Title inavyo jieleza. Nimejikuta ni mtu ambae NAPENDA sana kuwatongoza mabinti asa wanachuuo wenzangu na kitu cha kushangaza wengi hujikuta wakinaswa na timing Zangu.

Shida inaanza pale tu wanapoanza kuonesha dalili ya kukubaliana na mimi au kunipokea mmoja kwa mmoja najikuta siwi interested nao tena ata kuongea nao sitaki kabisa.

Ali hii immenifanya niwe single kwa mda mrefu mpaka sasa pili nimejikuta nikichukiwa na mabinti wengi apa chuoni kila ninapokatiza ninanyooshwewa kidole

Lengo la kujieleza ivi nipate mwanga wa kujikomboa na uraibu huu. KILA BINTI NINAE KUTANA NAE NAJIKUTA NIMMETIA VERSI

NB. Kama upo mwenzangu na mimi tushee experience.
 
Nawasalimu kwa jina la JF.

Mimi ni kijana undergraduate chuo x

Kama Title inavyo jieleza. Nimejikuta ni mtu ambae NAPENDA sana kuwatongoza mabinti asa wanachuuo wenzangu na kitu cha kushangaza wengi hujikuta wakinaswa na timing Zangu.

Shida inaanza pale tu wanapoanza kuonesha dalili ya kukubaliana na mimi au kunipokea mmoja kwa mmoja najikuta siwi interested nao tena ata kuongea nao sitaki kabisa.

Ali hii immenifanya niwe single kwa mda mrefu mpaka sasa pili nimejikuta nikichukiwa na mabinti wengi apa chuoni kila ninapokatiza ninanyooshwewa kidole

Lengo la kujieleza ivi nipate mwanga wa kujikomboa na uraibu huu. KILA BINTI NINAE KUTANA NAE NAJIKUTA NIMMETIA VERSI

NB. Kama upo mwenzangu na mimi tushee experience.
Kama huwa unajichua/masterbation acha Kabisa Hiyo Mambo inaua Kabisa mtazamo wa kuwa na uhusiano.Niskilize mimi
 
Back
Top Bottom