UNEMPLOYYED
Senior Member
- Jan 29, 2017
- 116
- 47
habari,,wanajamvi wezangu,,,Mimi ni kijana niliehitimu kidato cha sita 2016 Ba kupata marks HISTORY=D,,GEOGRAPHY=C,,,,ENGLISH =C
Kwa anaejua cozi itakayo niwezesha kusomea masuala ya kupambana na kuzui rushwa anisaidie maana ni kazi ninayoipenda kwani nimejengeka kimaadili ipasavyo na siogopi kubwa haki itatendeka,,sioni hatari yeyote maana niko fit physically,mentally,
Naomba kuwasilisha serious issue
Kwa anaejua cozi itakayo niwezesha kusomea masuala ya kupambana na kuzui rushwa anisaidie maana ni kazi ninayoipenda kwani nimejengeka kimaadili ipasavyo na siogopi kubwa haki itatendeka,,sioni hatari yeyote maana niko fit physically,mentally,
Naomba kuwasilisha serious issue