Napenda kulifahamu hili kuhusu mapenzi

Napenda kulifahamu hili kuhusu mapenzi

honey bee

Senior Member
Joined
Nov 23, 2021
Posts
139
Reaction score
236
Sorry wanajukwaa,

Ingelikuwa vyema kama ningelifahamu kwa undani zaidi kuhusu haya maswali yanayonitatiza.

Kama una experience na moja kati ya haya, naomba ushirikiano wako.

1. Maneno anayotamkiwa mwanamke wakati wa kumtongoza ndio yanayofanya yeye avutiwe nawe?

Make utasikia, ulimkosa kwa sababu hukuwa na swaag za kumwambia.

2. Vipi kuhusu wadada wanaokupenda wao wenyewe, hapo swaag zimetumika wapi?

3. Kwani mwanamke anaingia kwenye mahusiano akiwa na target tu ya kupata pesa? Kwani mahusiano wenyewe wanayachukulia vipi!! Na mbali na pesa, vitu gani vingine wana aim katika mahusiano

4. Na ni kwa muda gani ukae kwenye mahusiano na ndipo umwombe mwanamke kufanya nae mapenzi?

5. Unakuta unakuwa na urafiki na mtoto wa kike kwa muda hata wa mwezi mzima, mnazoeana sana, kichwani kwako unajenga picha ya mahusiano na yeye hata kwa kumuona tu na yeye unajua huwa anakutafakari muda mwingine, unamuomba kufanya naye mapenzi, halafu anakujibu, "hivi umenionaje, unanichukulia kama chombo cha starehe kweli?" Unakosa cha kujibu.

6. Napenda kuwa na mahusiano strong kama wenzangu, ila naona kama napoteza muda, make hawa watu wanataka muda, mwishowe nishindwe kufanya kazi zangu, wanatia stress sana, ingawaje rafiki zangu wana handle kivipi.

Naombeni summary ya vitu vya kufanya katika mahusiano, walau nijaribu ku summarize.

7. Na ni kwanini mabinti wakifika chuo wanajichukulia more expensive kiivi!

Naomba ushauri kwa moja ya situation yoyote unayoifahamu

Nawasilisha!
 
Punguza speed yatakuua.
Chukua wa level yako, usilazimisha wa ambaye sio wa level yako ili usifiwe na watu wako wa karibu
 
Huko unatumia long way mkuu tafuta hela hiyo ndo short cut way.
Tafuta pesa itumie pesa yako kula vizuri,vaa vizuri jipe maarifa kiujumla jipende watakupenda tu hiyo ndo njia fupi achana na hayo maswali ishi maisha real.
 
Huko unatumia long way mkuu tafuta hela hiyo ndo short cut way.
Tafuta pesa itumie pesa yako kula vizuri,vaa vizuri jipe maarifa kiujumla jipende watakupenda tu hiyo ndo njia fupi achana na hayo maswali ishi maisha real.
Mkuu mbona mimi nakula vizuri, navaa vizuri na ninajipenda sana???!!!
 
Katika maswali yako ukiondoa wale wa kujiuza yaan anakuwepo na wewe kwa maslai either kwa siku moja au kila ukimhitaji unaweza ukajibu maswali yako na still majibu yakawa tofauti ila kinyume na hapo ishu ya mapenzi ni emotional sana hivyo inategemea na thinking/feeling, mtu anajali nini katika ili aanzishe mahusiano na mwingine hivyo hakuna jibu hata moja utajibiwa litakuwa sahihi...kama ambayo una likes/dislikes zako same kwa mwingine...kwa wale wanaotegemea furaha yao itoke nje yao basi tegemea majibu tofauti katika maswali yako.
 
Sawa mkuu, hapo kuanzia namba 1 to 3 , Tafuta pesa tu utatongoza bila sentesi ndefu!
Muda wa kukaa na mpenzi hadi akupe tunda inategemeana na namna unavyomchombeza katika mazungumzo au mawasiliano yenu, hii humchochea kujitune kisaikolojia kuelekea tendo. Mwaka 2012 kuna mdada nilimpata mtandaoni, anaishi moja ya mikoa ya kati, basi nikapanga kwenda kumuona, nilipomjaribu kumuomba kuomba tunda akati nipo huku home akasema hapana tutakuja kuongea tu na kuspend time kufahamiana, basi siku nilipoanza safari nilianza kumchombeza nikamtumia hadi na kipisi cha video ya X, Ewana hadi nafika mkoa ule bimdada tayari alishalegea na bahati nzuri ilifika usiku, unaambiwa nilikula mzigo usiku huohuo!
Kuhusu kuzoeana, kwa kawaida usiache mwanamke akuzowee kupita kiasi kabla hujamgegeda, hii hupelekea yeye kuanza kukuchukulia kama kaka au mjomba. Jitahidi kuwa na misimamo itakayokufanya uonekane kuwa mtu wa tofauti na sio simple man!
Hao waliosoma vyuo ni kawaida sana kwao kujiona ni high class, Dawa yao b]ni pesa tu waakamatika! Lakini huna pesa ndefu na elimu yako hukuvuta mbali, basi hapo utajiumiza bure tafuta wa elimu ya kawaida wapo wengi tu ni wewe ujiongeze!
Hope nimekujibu baadhi!
 
Kwa sasa nime upgrade mienendo yangu.
Mwanamke akitaka kuniacha sijamkula.. lazima nimnywe hata vibao kwanza ni mtoe naka ngeu madogo,
Ili akijakuwa na mtu mwingine heshima iwepo hata huko mbele ya safar
 
Sawa mkuu, hapo kuanzia namba 1 to 3 , Tafuta pesa tu utatongoza bila sentesi ndefu!
Muda wa kukaa na mpenzi hadi akupe tunda inategemeana na namna unavyomchombeza katika mazungumzo au mawasiliano yenu, hii humchochea kujitune kisaikolojia kuelekea tendo. Mwaka 2012 kuna mdada nilimpata mtandaoni, anaishi moja ya mikoa ya kati, basi nikapanga kwenda kumuona, nilipomjaribu kumuomba kuomba tunda akati nipo huku home akasema hapana tutakuja kuongea tu na kuspend time kufahamiana, basi siku nilipoanza safari nilianza kumchombeza nikamtumia hadi na kipisi cha video ya X, Ewana hadi nafika mkoa ule bimdada tayari alishalegea na bahati nzuri ilifika usiku, unaambiwa nilikula mzigo usiku huohuo!
Kuhusu kuzoeana, kwa kawaida usiache mwanamke akuzowee kupita kiasi kabla hujamgegeda, hii hupelekea yeye kuanza kukuchukulia kama kaka au mjomba. Jitahidi kuwa na misimamo itakayokufanya uonekane kuwa mtu wa tofauti na sio simple man!
Hao waliosoma vyuo ni kawaida sana kwao kujiona ni high class, Dawa yao b]ni pesa tu waakamatika! Lakini huna pesa ndefu na elimu yako hukuvuta mbali, basi hapo utajiumiza bure tafuta wa elimu ya kawaida wapo wengi tu ni wewe ujiongeze!
Hope nimekujibu baadhi!
Shukhrani!! Nimejifunza kitu!!
 
Brazaaa...
1. Tafuta hela
2. Endelea kutafuta hela
3. Mbunye zipo kibaoo mtaani, KULA MAISHA.

ACHANA NA KUOA.

#YNWA
 
Nina shaka na umri/rika lako kutokana na uandishi wako.
Anyway
Hakuna namna specific ya kuzungumza na mwanamke/msichana/mwanaume ili akupende
Itategemea na mazingira mliyokutana ama mlianzaje mazungumzo kabla ya kumtongoza

Pili unapendwa kwa sababu una ambacho anakitamani ama kukiona ni kizuri kwake

Kingine haombwi kufanya tendo la ndoa,hii inakuja tu automatic kwa mazingira uliyoamua kujiwekea(kama mnakutana tu kwao sjui inakuaje

Ukikutana na mpenda pesa huyo ni tabia yake na si kua wanawake wanaombaga tu pesa,ama ulimpata kwa pesa ,kama ndivyo utatumia pesa kufanya kila kitu kiwe sawa

Hakuna muda wa kusema sasa tunaweza kufanya mapenz ,hata siku ya kwanza inaweza kutokea

Ushauri
Fanya mambo ya msingi mapenzi yapo tu,na ukiyatafuta kwa nguvu iko siku utarudi hapa kuomba ushauri
 
Nina shaka na umri/rika lako kutokana na uandishi wako.
Anyway
Hakuna namna specific ya kuzungumza na mwanamke/msichana/mwanaume ili akupende
Itategemea na mazingira mliyokutana ama mlianzaje mazungumzo kabla ya kumtongoza

Pili unapendwa kwa sababu una ambacho anakitamani ama kukiona ni kizuri kwake

Kingine haombwi kufanya tendo la ndoa,hii inakuja tu automatic kwa mazingira uliyoamua kujiwekea(kama mnakutana tu kwao sjui inakuaje

Ukikutana na mpenda pesa huyo ni tabia yake na si kua wanawake wanaombaga tu pesa,ama ulimpata kwa pesa ,kama ndivyo utatumia pesa kufanya kila kitu kiwe sawa

Hakuna muda wa kusema sasa tunaweza kufanya mapenz ,hata siku ya kwanza inaweza kutokea

Ushauri
Fanya mambo ya msingi mapenzi yapo tu,na ukiyatafuta kwa nguvu iko siku utarudi hapa kuomba ushauri
Dah!! Nashukuru sana mkuu, walau majibu yamenitia moyo!!
 
Back
Top Bottom