Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Kijana Nape, angalau wape pongezi Wabunge mashujaa sita wa CCM waliothubutu na ikiwezekana usiishie hapo, walaani wote waliobaki kwa kuonesha woga na unafiki uliokubuhu. Ukifanya hivyo, wengi wetu tuliokubatiza "toothless bulldog" huenda tukakuangalia kwa miwani mipya na tukawa tayari kukukaribisha kama mwana mpotevu. Lakini hapa naomba nikuonye, mlango wa kutokea unazidi kubana na hii ni nafasi ya pekee kwako kusimama upande wa wazalendo kulitetea taifa hili.
Kama ni hivyo kazi tunayo!
Hah hah Awalaani wote .... Hapana anachofanya ni ....
Kama ni hivyo kazi tunayo!