Hivi unadanganya ili iweje?si bora ukae kimya tu.Huu ndo unafiki na undumilakuwili wenyewe, kama kweli anajidai haogopi mbona sasa alipigia kura ya ndio kuupitisha huo muswada wa korosho!
Kwa nchi yenye demokrasia ya kweli hapo ndipo mahali sahihi pa kusemea. Hao ndiyo waajiri wake.Angelisema maneno haya bungeni spika wa bunge angelipatia ufumbuzi, lakini anasema haya maneno kwa wananchi wakiwa hawawezi kufanya lolote.
Unafikiri mimi ni kijana si ndiyo? Mimi hata siku moja tangu vyama vingi vinaanzishwa sijawahi kuwa na timu sasa wewe unanijaza maneno kwa mtazamo wako huyo Nape si ndiyo mwasisi wa goli la mkono na ndiyo mwasisi wa kuzuia bunge live sasa tumuiteje kama siyo njaa za kunyimwa ulajiMkuu wewe utakua team jiwe
By the way kila mtu hata ww ungekuwa yeye ungekua hivo hivo njaa
Mbunge wa mtama, Nape Nnauye aliongea na wananchi wake jana wa jimbo la Mtama ambapo aliongea kwa hisia kali kuhusu Serikali kuweka sheria mpya ya ushuru wa korosho ambao utaenda Serikali Kuu wote tofauti na zamani ambapo ulikuwa ukibaki kwa wakulima kwa asilimia kubwa.
Nape amesema Serikali imefanya sivyo kwa kuwa ushuru wa korosho umeongezeka na wakaamua kukwapua hizo hela bila kuwa na sababu ya msingi.
Nape aliendelea kusema kuwa Serikali inasema hela zinaibiwa lakini wanashindwa kuthibitisha zinaibiwaje na wala kuwakamata hao wezi.
Ameendelea kusema yeye atawatetea wananchi na haogopi wakubwa kama kuchukia na wachukie na amejitolea maisha yake kusema ukweli daima kwani CCM ni ukweli daima. Nape amesema ataendelea kufuatilia jambo hilo na kusisitiza kuwa kuteleza si kuanguka.
Aidha Nape Nnauye amesema hawezi kukihama chama hicho tawala kwa kuwa ana hisa nyingi. Amewataka wananchi kuondoa hofu juu yake akiwataka kupuuza maneno yanayosema kuhusu hatima yake CCM, kusisitiza kuwa hataondoka katika chama hicho.
“Nimechaguliwa kuwatumikia wananchi wa Mtama. Yapo maneno mengi yanazungumzwa, hasa kuhusu hatima ya mbunge wenu. Tusipate shida kwenye chama changu cha kijani,” amesema Nape.
“Nina hisa nyingi najua mmenielewa, furaha yangu ni kuwatumikia hayo mengine ni bla bla tu.”
Ila hata asipopitishwa ATASUMBUA sana, na kwa kuwa JIWE lina huluka ya kutengeneza kesi likikushindwa ndo yanakukuta ya LISSU
JIWE akili yake ni ndogo, ndio maana Mission zake zote anazopanga zinabumbulika, linabaki linaona aibu tu halijui cha kufanya:Yani naonaga Watu wapumbavu lakini we unaongoza. Hivi kwa akili yako huyo jiwe wako angetaka roho ya huyo L ndo mission ile iwe ya kitoto hivyo. Do you really know the essence of p’s power. Please go to kindergarten and advertise your „intellectual poverty.“