Nape si mzima!!


Hakika nape unalaana ulilelewa mitaani????
 
mwanachama wa ccm haruhusiwi kugombea uongozi cdm wala chama kingine kisheria mbona kitu kidogo!uelewa wako ni wa mashaka sana.kadi ni mali ya mwanachama kikatiba.akihama chama katiba haisemi arudishe kadi ndio maana inslipiwa.una akili gani hata usijue jambo dogo kiasi hiki!usikubali kuika ovyo ovyo.
 
Kwahiyo mnamana nape kafa au taira sjaelewa s mzima ki vipi msimlaumu ndo mwisho wa akili yake hapo tatzo la elm za kuunga unga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…