Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,885
- 2,376
KUHONGA?. Hivi unafahamu neno kuhonga kisheria au unataka tuliongee kwa kutumia lugha ya kwenye vijiwe vya kahawa.Chama kinapowalipa wasanii kutumbuiza kwenye mikutano yake ya kisiasa, huwezi kusema kimewahonga kwa maana nyingine haina tofauti na CHADEMA kupitisha bakuli kwenye mikutano yao kwa ajiri ya kuwataka watu walipie mafuta ya magari ya viongozi wa CHADEMA.Kuhonga ni aina ya rushwa ambayo ni kosa la jinai linalokuwa punishable by Law.
Pia ni namna nyingine ya kurejesha fedha kiasi kwa wananchi. Siku hizi nikipata habari ya mkutano wowote wa CCM kufanyika mjini kwetu, nawapa taarifa vijana wa bodaboda wakachukue chao au wakajaziwe mafuta.
By the way unatumia msuli sana kukitetea chama chako.