Nape Nnauye awabwaga CHADEMA Mahakamani

Nape Nnauye awabwaga CHADEMA Mahakamani

ACHEBE

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2008
Posts
348
Reaction score
76
Zipo tetesi kuwa Nape kawabwaga Chadema mahakamani katika kesi waliyofungua wakimdai Tshs 3bill kwa madai kuwa kawachafulia jina kwa kusema wanatakatusha pesa na kupewa pesa kutoka nje!! Kesi ilikuwa inasikilizwa na majaji watatu.

Nape katoa ushahidi wa kufa mtu, katika hukumu yake Jaji kawatahadharisha CDM kuwa ushahidi huo ukipelekwa kwa msajili wa vyama chama kinafutwa kwa kosa la kuingiza pesa chafu nchini.

Source;- mahakama kuu ya Tanzania
 
Mnaandaa mkakati wa kuwatisha majaji au! Maana mnawezaje kupata hukumu ambayo haijatolewa! Hata majina ya majaji huyajui lakini unajua mwenendo wa shitaka!

Full shaka, pamoja na kwamba umetumia jina sahihi kumwita huyo kisemeo cha magamba!
 
Hiyo kesi ina hadhi gani ya kusikilizwa na majaji watatu?-Tafadhali tujitahidi kuwa tunaheshimu utu wetu-KITAMBIHESHIMA
 
Mnaandaa mkakati wa kuwatisha majaji au! Maana mnawezaje kupata hukumu ambayo haijatolewa! Hata majina ya majaji huyajui lakini unajua mwenendo wa shitaka!

Full shaka, pamoja na kwamba umetumia jina sahihi kumwita huyo kisemeo cha magamba!
Tumaini Makene ni aibu kuwa msemaji wetu na hujui kesi hii kuwa imeisha!!!! Basi jipe muda acha kukurupuka kwani tunakuheshimu sana wengine humu, nenda kamuulize mwanasheria /wakili aliyewekwa na chama kufungua kesi hii
 
Tunaomba utujulishe na maendeleo ya kesi ya yule mtoto wa kimjimjini Prince Ridhiwani aliyomshtaki Dr slaa kwa kumsingizia utajili inaendeleaje?
 
Tumaini Makene ni aibu kuwa msemaji wetu na hujui kesi hii kuwa imeisha!!!! Basi jipe muda acha kukurupuka kwani tunakuheshimu sana wengine humu, nenda kamuulize mwanasheria /wakili aliyewekwa na chama kufungua kesi hii

hivi tumaini makene ni msemaji wa cdm kitaifa au jf? Kama ni kitaifa bas ni miongon mwa wanaoshusha hadhi ya chama
 
Zipo tetesi kuwa vuvuzela wa CCM Nape kawabwaga Chadema mahakamani katika kesi waliyofungua wakimdai Tshs 3bill kwa madai kuwa kawachafulia jina kwa kusema wanatakatusha pesa na kupewa pesa kutoka nje!! Kesi ilikuwa inasikilizwa na majaji watatu.

Nape katoa ushahidi wa kufa mtu, katika hukumu yake Jaji kawatahadharisha CDM kuwa ushahidi huo ukipelekwa kwa msajili wa vyama chama kinafutwa kwa kosa la kuingiza pesa chafu nchini.

Source;- mahakama kuu ya Tanzania

Tatizo hili jukwaa limeshakuwa la utani!!!
 
Tumaini Makene ni aibu kuwa msemaji wetu na hujui kesi hii kuwa imeisha!!!! Basi jipe muda acha kukurupuka kwani tunakuheshimu sana wengine humu, nenda kamuulize mwanasheria /wakili aliyewekwa na chama kufungua kesi hii

Hapa suala sio Makene wala usemaji wa CDM!Ni mapungufu ya thread yako!Unapokuja na taarifa nyeti kama hii,funguka tuelewe hata sisi tunaokaa huku Mpanda!Kesi ilifunguliwa lini,chini ya majaji wepi,mawakili wa pande zote walikuwa akina nani,imesikilizwa lini,hukumu imetolewa lini?Kumbuka ni kesi ya madai!!Kesi imeisha kwa jaji kusema "CDM huu ushahidi ukipelekwa kwa msajili wa vyama,CDM itafutwa?"Hahahaaa,sijui kama unaelewa kuwa unaongea na watu wa aina gani?

Hivi kweli unategemea #Nape awe na ushahidi wowote ule wa kuiangusha CDM,hasite kuupeleka kwa msajili?Kwa taarifa yako siku hiyo ataita vyombo vyote vya habari duniani,CNN,BBC,Aljezeera,Sky news,Euro news,American news n.k,na kuwaonyesha hizo document kabla hata hajaziwasilisha!
ACHEBE,,Nenda kachukue book saba yako!#Chinua Achebe hakuwa hivi,badili hiyo id,huitendei haki!Fanya uchunguzi vizuri,post with data!
 
Last edited by a moderator:
Tunaomba utujulishe na maendeleo ya kesi ya yule mtoto wa kimjimjini Prince Ridhiwani aliyomshtaki Dr slaa kwa kumsingizia utajili inaendeleaje?

Kwahiyo hata ukiambiwa nchi haitawaliki utaamini tu,muda mwengine kuna watu au maneno yanapaswa kupuuzwa.
 
Zipo tetesi kuwa Nape kawabwaga Chadema mahakamani katika kesi waliyofungua wakimdai Tshs 3bill kwa madai kuwa kawachafulia jina kwa kusema wanatakatusha pesa na kupewa pesa kutoka nje!! Kesi ilikuwa inasikilizwa na majaji watatu.

Nape katoa ushahidi wa kufa mtu, katika hukumu yake Jaji kawatahadharisha CDM kuwa ushahidi huo ukipelekwa kwa msajili wa vyama chama kinafutwa kwa kosa la kuingiza pesa chafu nchini.

Source;- mahakama kuu ya Tanzania

Inaonyesha mwenyewe ulichokiandika ni tetesi huna uhakika nacho ndio mana hata uandishi wako nao washida amboa unakufanya usieleweke.
 
Billioni 3? Chadema njaa itawafikisha pabaya
 
Hukumu nyingine bana , eti "CDM huu ushahidi ulipelekwa kwa msajili wa vyama , mtafutwa.......Hukumu ya majaji watatu kwa mujibu wa msemaji wa CCM" ...........
 
Kama huna hoja si nunua hata kipande cha sabuni uwape wasiojiweza!
 
Kumbe na hii ID ni yako daah!! Hujui majina ya majaji, Hujui tarehe ya hukumu, au kesi ilisikilizwa usiku?

We kweli mboga wa wakubwa
 
Zipo tetesi kuwa Nape kawabwaga Chadema mahakamani katika kesi waliyofungua wakimdai Tshs 3bill kwa madai kuwa kawachafulia jina kwa kusema wanatakatusha pesa na kupewa pesa kutoka nje!! Kesi ilikuwa inasikilizwa na majaji watatu.

Nape katoa ushahidi wa kufa mtu, katika hukumu yake Jaji kawatahadharisha CDM kuwa ushahidi huo ukipelekwa kwa msajili wa vyama chama kinafutwa kwa kosa la kuingiza pesa chafu nchini.

Source;- mahakama kuu ya Tanzania

Majitu kama wewe huku kwetu tuyaita NDEZI yaani KUBWA JINGA
 
Back
Top Bottom