Nape Nnauye acha kusema uwongo, huoni aibu?

Nape Nnauye acha kusema uwongo, huoni aibu?

Winston Mtanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2014
Posts
340
Reaction score
117
Nitakuomba ujibu maana upo humu.

Hivi unaposema umezunguka wananchi wakaomba Maji, Umeme, Barabara, shule na Zahanati ulimaanisha haya?

1. Wanaomba kwa maana miaka 50 hamjawapatia hayo mahitaji muhimu?

2. Hawajui kwamba mambo hayo huletwa na serikali Imara.? Na kwamba serikali imara huundwa na katiba imara, kwa maneno mengine katiba ndio chimbuko la hayo maji, umeme, barabara na mengine.

3. Kama kweli hawaitaki katiba mpya, mchakato huu na mambo yake yote mlianzisha ya nini?
 
unaonekana una hasira sana, nikirudi nitachangia
 
Nitakuomba ujibu maana upo humu.

Hivi unaposema umezunguka wananchi wakaomba Maji, Umeme, Barabara, shule na Zahanati ulimaanisha haya...!?

1. Wanaomba kwa maana miaka 50 hamjawapatia hayo mahitaji muhimu?
2. Hawajui kwamba mambo hayo huletwa na serikali Imara.? Na kwamba serikali imara huundwa na katiba imara, kwa maneno mengine katiba ndio chimbuko la hayo maji, umeme, barabara na mengine.
3. Kama kweli hawaitaki katiba mpya, mchakato huu na mambo yake yote mlianzisha ya nini?
Kikwete ashukuriwe sana kwani hata watu ambao hawakustahili kukaribia meza kuu ya CCM leo wapo hapo.
Kosa ni kuwa wanashindwa kujitahidi kuishi kama hadhi ya wadhifa waliopata na mwisho wa siku wanamuangusha aliyewapandisha.
Nape,soma makala mbalimbali na vitabu vingi kadri uwezavyo ili uwe na maarifa ya kujua multiparty maana yake ni nini,faida na hasara zake na ujue social changes are inevitable!!!!
 
binafsi nape namuona nimtu wa mipasho sana ni bora akajiunge na waimbaji wa taarabu tuu tujue wazi kuwa vidole juu ni kazi yake,huwa hana point hata siku moja nadhani imani yake ya hovyo anadhani upinzani ni uhadui tena ni muongo sana eti huduma za jamii hazihitaji katiba ni zero kabisa.
 
binafsi nape namuona nimtu wa mipasho sana ni bora akajiunge na waimbaji wa taarabu tuu tujue wazi kuwa vidole juu ni kazi yake,huwa hana point hata siku moja nadhani imani yake ya hovyo anadhani upinzani ni uhadui tena ni muongo sana eti huduma za jamii hazihitaji katiba ni zero kabisa.

Inaonesha mke wake anashinda kwenye vigodoro
 
Nape ni chizi yule hajitambui amejichubua mpaka ubongo..
 
Back
Top Bottom