Nakumbuka kitambo kidogo vituperation vya gari viliitwa chama kumaanisha ccm bit now maeneo hayo yote yanahitaji bendera na matador ya chadema! Ccm ni majangili, ili warudishe imani kwa watz watujibu yafuatayo, 1. Richmond ilitoka wapi na nani anahusika na awakibishwa.2.Dowans ni ya nani na ile lesions ifutwe na wahusika wafungwe wote kwa kosa la uhaini,3. Mikataba ya kinyonyaji ya Madini ifutwe na wahusika walioiuza nchi kwa kupewa mawemakubwa ya dhahabu na migodi southafrica washitakiwe4. Chanzo halisi cha mulipuko ya mabomu dar vijulikane na wahisika wahitakiwe kwa ufisadi ma mauaji,5. Isue ya meremeta iwekwe. Wazi ma wahusika washughulikiwe,6. Mawaziri wa swami zote mbili waliotuongezea umaskini kwa wizi wao na uzembe then wakajiuzulu washitakiwe wote7. Mawaziri na viongozi wote sentence itajiri wa kutosha na uliojaa wizina Mashine la watz wafilisiwe,8. Kero za ajira zishugulikiwe9. Kero za maisha kupanda zishughulikiwe,Then wake kutimiza zileahadi zaidi ya 90 walizotoa wakati wa uchaguzi Mr Meli. Kubwa ktk kila ziwa n.k