Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,158
- 41,340
Wasalaam....
Kwa muda mrefu kuna baadhi ya mawaziri, naibu mawaziri, makatibu wakuu na viongozi wengine wamesikika wakisema huku na huko kwa wandani wao kuwa hawaridhishwi na hali ya mambo inavyokwenda!! Wengi wanaumia kuliko.... Wengi walikua na matarajio tofauti na haya wayaonayo...
Ni wazi mwenye mamlaka ameonesha dhahiri ana shingo ngumu... Hali ya mambo nchini imetaharuki... Ni wazi tunaelekea kubaya kuliko historia ituhukumu ni budi tuitendee haki ituhifadhi...
Nawashauri wale wote wasiopendezwa na haya yatokeayo... Ili historia isije wahukumu ni heri wajitose baharini.....
Kwa muda mrefu kuna baadhi ya mawaziri, naibu mawaziri, makatibu wakuu na viongozi wengine wamesikika wakisema huku na huko kwa wandani wao kuwa hawaridhishwi na hali ya mambo inavyokwenda!! Wengi wanaumia kuliko.... Wengi walikua na matarajio tofauti na haya wayaonayo...
Ni wazi mwenye mamlaka ameonesha dhahiri ana shingo ngumu... Hali ya mambo nchini imetaharuki... Ni wazi tunaelekea kubaya kuliko historia ituhukumu ni budi tuitendee haki ituhifadhi...
Nawashauri wale wote wasiopendezwa na haya yatokeayo... Ili historia isije wahukumu ni heri wajitose baharini.....