makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
[FONT=book
antiqua]Duh hiyo kauli ya first class economist
mh.Lameck Mkumbo mbona inatia mashaka yani hayo maneno yanaweza
kutoka kwenye kinywa chake tena mbele ya umati wa watu wanakimsikiliza
anamwaga sera yeye anamwaga ***** huo,watu wanataka kujua juu ya vituo
vya afya na maji safi na salama,vifo vya kina mama wajawazito vikipungua
sio masuala ya uchawi.Hivi zile bajaj za kubeba wagonjwa zilipotelea
wapi kweli nchi yetu inaharibiwa na wanasiasa
uchwara.[/FONT]
[FONT=book
antiqua]Duh hiyo kauli ya first class economist
mh.Lameck Mkumbo mbona inatia mashaka yani hayo maneno yanaweza
kutoka kwenye kinywa chake tena mbele ya umati wa watu wanakimsikiliza
anamwaga sera yeye anamwaga ***** huo,watu wanataka kujua juu ya vituo
vya afya na maji safi na salama,vifo vya kina mama wajawazito vikipungua
sio masuala ya uchawi.Hivi zile bajaj za kubeba wagonjwa zilipotelea
wapi kweli nchi yetu inaharibiwa na wanasiasa
uchwara.[/FONT]
wakuu tunajua
serikali yetu haiamini uchawi,lakini kauli ya Mwigulu inasema cdm
wanatumia uchawi.huwezi amini kuwa huyu ni mjumbe wa Cc na mbunge.anaema
M4c ni kutoka ndoa ya mme na mke kwenda ndoa ya Jinsia moja.Kwani
wanafadhiliwa na mashirika 5 kutoka nje na mojawapo ni la
mashoga.
Nkinga ni kata
Mkuu mbona flow ya updates imepungua kam vile imekatika, kunani! Wamekunyang'anya nokia yako?
Tumepata habari Dr. kafumu amepata ajali mbaya jirani na hapo Nkinga, taarifa hizo ni kweli?na vipi hali yake? pia kama Dr. kafumu amepata ajali na ni Mwanachama wa CCM je mkutano huo unaendelea? kama utaendelea itakuwa sio uungwana cha muhimu wangeangalia hali ya Dr. kwanza.Mwigulu Nchemba leo anatarajia kuanza mkutano wake hapa Nkinga hivi sasa Nipo uwanjani kuwaletea kila kitu.endelea kufuatilia.
Niko salama mkutano umemalizika salama.Ila kabla ya kumalizika mkutano nilikuwa narecod, nimefuatwa na mabaunsa wawili wakinionya nisiwaharibie mkutano wao.Maana wamepata taarifa zangu kuwa narecod mkutano wao bila ruhusa yao.
Tumepata habari Dr. kafumu amepata ajali mbaya jirani na hapo Nkinga, taarifa hizo ni kweli?na vipi hali yake? pia kama Dr. kafumu amepata ajali na ni Mwanachama wa CCM je mkutano huo unaendelea? kama utaendelea itakuwa sio uungwana cha muhimu wangeangalia hali ya Dr. kwanza.
Kafumu amefumuliwa tena!?
Kuna thread iliwekwa hapa kuhusu Kafumu kupata ajali naona sisi tuliipenda ila mods wameipenda zaidi!
Eee!! Hivi Mwiguru kumbe
akili hana kiasi hiki!!?? Maneno gani anatamka mbele ya hadhara!! "Hata
wanaomsikiliza hamnazo" wanangoja nini kumpopoa mawe!!? Stupidity never
end!!
Tumepata habari Dr. kafumu
amepata ajali mbaya jirani na hapo Nkinga, taarifa hizo ni kweli?na
vipi hali yake? pia kama Dr. kafumu amepata ajali na ni Mwanachama wa
CCM je mkutano huo unaendelea? kama utaendelea itakuwa sio uungwana cha
muhimu wangeangalia hali ya Dr. kwanza.
Wakati Dr Kafumu yupo wodini Nchemba anamwaga matusi kwa viongozi wa Cdm na kwa Jaji aliyemvua Kafumu ubunge.Alichosema ajali hiyo ni uchawi wa Chadema.