picha hatuzioni bwana..
Mkuu sisi tumeenda ili ninyi mliombali na Nkinga tuwajulishe.
NAMI NACHOKA NA JINA LA n - chembaHivi hili ni jina lake halisi? Halafu mbona kama anahitaji psychiatrist consultation and counseling.
Hakuna taarifa zozozte za kiitelijensia za kuwepo uvunjifu wa amani ili huo Mkutano upigwe marufuku na Jeshi la Magamba?