Nape kushiriki kampeni za udiwani kusini

Nape kushiriki kampeni za udiwani kusini

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
39,194
Reaction score
31,748
Ametweet kwenye ukurasa wake kuwa anatarajia kukitetea chama chake katika kinyang'anyiro cha udiwani katika mikoa ya Kusini.
 
Nape usiende bila kutumwa, huo ndio ushauri wangu kwako.
 
Wale walio mnyoshea Bunduki mchana pale Serena hoteli wana taarifa hizo?
 
Wanasiasa kama Nape ni watu makini wanaozinjua nyakati kwa usahihi wake sina mashaka nae hata kidogo
 
Back
Top Bottom