Nape kanusha na hili.

vijijini huko kilosa.akikaa kimya anakubaliana na hali halisi.tunataka kauli yake mbna wanawategemea sana hawa wenyeviti wa vijiji katika kush4nda uchaguzi
kwani hata akikanusha itasaidia nini sasa!
M4C yenyewe ipo na inaimpact kuliko za akudo.
 
hili la kutumia usalama wa taifa linatisha sana itabidi msitu wa pande ufyekwe itengenezwe bustani ya mapumziko kupunguza madhara.
 
Baada ya kupinga kumalizika wabunge wa magamba wameagizwa waende kukanusha yote yaliyokuwa yanasemwa kwenye M4C.kwasasa Nape yupo busy kuona ni jinsi gani wataratibu mikutano katika maeneo ambayo m4c wamepita ikiwa ni kujaribu kuweka mambo sawa.

mbona watachanganyikiwa maana M4C imevuruga ile mbayo huku kilosa
 
Kwani mnadhan ye hajui hii kitu? Anafanya ili ajaribu kuwakomesha wabaya wake. Mwisho wa siku ugomvi wao faida kwa CDM.
 
Though I am not sure kama umefanya research.............. Kwa jinsi ulivyopangilia, I 100% support your argument.
 
Join Date : 18th August 2012

Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received0
Likes Given1

[h=2]heheheheheh uuuuwiii[/h]
 
Ataweza wapi huyo kuukubali ukweli? Ataishia kubwabwaja tu na propaganda mfu!
 

unawashwa sehemu gani zaidi ktk mwili kwa mfano kama mtu atakuuliza.
 
Chadema hakiwezi kuongoza nchi kwa sasa,bado kinakabiliwa na changamoto nyingi sana za ndani ya chama,labda baade sana.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…